Sgr yenu ni mombasa to malaba na mpaka leo haijafika malaba mnatia huruma na hakuna nafasi tena ya kuifikisha malaba tumeshachukua Uganda na kumweka mfukoni.It is not under construction yet.., yaani bado ujenzi haujaanza, sio kale kenu ka 300km ujenzi ulianza April 2017, hadi wa leo hamjatumia SGR train.., jiangalie mlivyo., ukianza kitu unakamilisha kwa wakati., narudia, omba sana msife kabla ya kutumia ama kushuhudia SGR nchini kwenu..,
Hiyo ndio inaitwa economic diplomacy sera ya nje Tz .


JF imejaa tu machizi