Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So which city is better?
Stretch ya barabara kutoka kivukoni hadi Kibaha ambayo ina BRT plus Highway yenye urefu 40Km Hii pekee inajibiwa na barabara gani hapo Mombasa?...
Barabara ya Kilwa nayo Ina BRT 20KMS flyovers 2
Sina haja ya kutaja barabara zingine kwanza niambie stretch ya maana hapo Mombasa ya kujibu mapigo kwanza

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Bwana Don YF Umepotea unatafuta picha? Basi pokea ubatizo kidogo

FNwNq67WYAYWrYR
 
Picha zako zimeisha. Mimi nataka tuende kimoja kimoja.
Tunaanzia kwenye nini?
1. Three Levels Interchanges
2. SGR
3. BRT
4. Sidewalk
5. Bridges

Haya sasa nakusubiri
Kazi rahisi hatuhitaji kupoteza mda..,
1 Three level interchanges: Tanzania 1 Kenya 6., (Museum Hill, Southern Bypass, South B/south c crossing, another off Mlolongo at expressway, Pangani, Changamwe interchange, Mombasa)..,
2. SGR: working SGR. Tanzania 0(U/C). Kenya 1 ( 553KM Mombasa to Naivasha ICD)
3. BRT Tanzania 1 Kenya 0.
4. Sidewalk.., (relative)
5. Bridges: Both have, designs ndio tofauti.

ujinga niondolee kilaza.., unajaribu kuweka kile unadhani uko na advantage, nyambaff.
 
Bwana Don YF Umepotea unatafuta picha? Basi pokea ubatizo kidogo

FNwNq67WYAYWrYR
Komaa tu hapo Dar.., jiliwaze ukichoka nenda vijiweni ukahadithie makapuku wenzako, maboya na mazezeta, kazi yako nimemaliza, hauna ushawishi wowote kwangu kamwe 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Kazi rahisi hatuhitaji kupoteza mda..,
1 Three level interchanges: Tanzania 1 Kenya 6., (Museum Hill, Southern Bypass, South B/south c crossing, another off Mlolongo at expressway, Pangani, Changamwe interchange, Mombasa)..,
2. SGR: working SGR. Tanzania 0(U/C). Kenya 1 ( 553KM Mombasa to Naivasha ICD)
3. BRT Tanzania 1 Kenya 0.
4. Sidewalk.., (relative)
5. Bridges: Both have, designs ndio tofauti.

ujinga niondolee kilaza.., unajaribu kuweka kile unadhani uko na advantage, nyambaff.

Tuoneshe Three Levels Interchange. Hatutaki maneno mdogo wangu. Weka naweka.
 
Komaa tu hapo Dar.., jiliwaze ukichoka nenda vijiweni ukahadithie makapuku wenzako, maboya na mazezeta, kazi yako nimemaliza, hauna ushawishi wowote kwangu kamwe 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Three Levels Interchange iko wapi?
 
Komaa tu hapo Dar.., jiliwaze ukichoka nenda vijiweni ukahadithie makapuku wenzako, maboya na mazezeta, kazi yako nimemaliza, hauna ushawishi wowote kwangu kamwe 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
👆👆👆 kazi kwisha, jipe shughli
Tuoneshe Three Levels Interchange. Hatutaki maneno mdogo wangu. Weka naweka.
 
Komaa tu hapo Dar.., jiliwaze ukichoka nenda vijiweni ukahadithie makapuku wenzako, maboya na mazezeta, kazi yako nimemaliza, hauna ushawishi wowote kwangu kamwe 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
👆 👆 👆 unajaribu kujitia hamnzao wazi wazi boya., potelea mbali, nimekunyonga kabisa hauna pumzi kamwe.., wenzako wanakungoja vijiweni boya 😂😂😂😂😂
Kwahiyo umegoma kutuonesha Three Levels Interchange from Kenya, au hakuna umeona aibu?
Sema tu mdogo wangu hakuna wa kukucheka.
 
Kwahiyo Kenya hakuna Three Levels Interchange?
KAMA HII
FHm8jWzXsAQoKnm
Umefinywa penyewe, inauma ila vumilia., hiyo msalaba ni "vilima na bichi kidimbwi" boya., pumzi kwisha, mwaga povu kabisaa 😂 😂 😂 😂 😂 💪 💪 💪 💪 💪
1674487121900.png
 
Makuona umeshindwa. Pole Maana huko Kundustan hakuna vitu vizuri kama hiki

FHm8jWzWQAAHUnX
Sawa boya, Kenya hakuna vilima na bichi kidimbwi hapo tumekubaliana, pumzika sasa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Sawa boya, Kenya hakuna vilima na bichi kidimbwi hapo tumekubaliana, pumzika sasa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
ukishachoka kutapatapa, jibu ni hapa hapa👆 👆
Hapa mdogo wangu tunaongelea Three Levels Interchange. Au hujui maana yake nikufundishe?
Vumilia kitukuu, inauma ila utapoa tu😂😂😂😂😂😂😂😂..,
1674487731516.png
 
Back
Top Bottom