By 2025 Tz exports to Kenya itafikia USD 1.2bnNdio maana tunaongoza kuzila pesa za wavivu View attachment 2490860
By 2025 Tz exports to Kenya itafikia USD 1.2bnNdio maana tunaongoza kuzila pesa za wavivu View attachment 2490860
Hapa tunakimbiza mwizi kimya kimya wala hatupigi kelele maana miradi ni mingi sana.Kimya kimya kazi inapigwa [emoji122][emoji122]
Sasa ukija huku Tz si utachanganyikiwa kabisa mambo yanaenda kasi sana huku. Kazi inaendelea.Tunaoshuhudia ndio tunajua, juzi nimejikuta mshamba kwenye nchi baada ya kutembelea maeneo ambayo nimekawia, aki ya nani tumewaacha mbali nyie.
Bajeti ya Kenya ni kama bajeti ya harusi za Kibongo, unakuta wanakamati wanaweka bajeti ya harusi ya 30M alafu mwisho wa siku wanakusanya 9M alafu wanaanza kusmash luxuries, utasikia jamani hapa cha msingi bora kijana wetu aoe……[emoji23][emoji23]
Uchumi upi mkuu wa makaratasi ama huu ambao tunaouona na kuuishi huko Kenya?Kutukaribia kiuchumi, pengo linazidi kuongezeka.
Ni sahihi kilimo ndio dira ya taifa na penyewe tupo vizuri, kilimo cha kisasa kimeongezeka (Mechanized agriculture) lakini pia value addition kwa mazao tunayopata inakuja juu sana, banks kubwa zote Tanzania zina mikopo maalumu kwaajili ya agribusiness projects yenye riba ndogo kuliko mikopo yote na ni ya muda mrefu!Kilimo na ufugaji ndio kitu pekee kinachoweza kumtoa masikini kwenye umaskini,tuwekeze zaidi humo..Sioni tukichomoka kwenye umaskini bila kukomaa na shamba,tukumbuke watz wengi hawako katika ajira Rasmi
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Mtihani huu poleni sana majirani. Fanyeni jitihada tuwaletee gas na tuwape umeme wa gharama nafuu ili ku boost productivity huko kwenu. Itasaidia kupunguza gharama za maisha.Somen line ya chini kbsa mwishon kwenye hii paper, hawa ndo wanajiita matajiri
View attachment 2490928
Unga ni chakula, na kwa kainchi kadogo ambako zaidi ya nusu yake ni kame tupu na kanakumbwa na kiangazi hata kwenye maeneo machache yenye rotuba, unga lazima uwe mojawapo wa agenda. Jiongeze kidogo ushirikishe ubongo utaelewa.
Hata hivyo licha ya changamoto zote hizi, bado tunawazidi kiuchumi mara mbili.
Watanzania tupo vizuri in progress ni hivyo tu watanzania hatuna hulka ya bragging kama hawa wanuka njaaKilimo na ufugaji ndio kitu pekee kinachoweza kumtoa masikini kwenye umaskini,tuwekeze zaidi humo..Sioni tukichomoka kwenye umaskini bila kukomaa na shamba,tukumbuke watz wengi hawako katika ajira Rasmi
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Remember Kenya worse than Zimbabwe.Ethiopia, Tanzania, Congo, Burundi na Zimbabwe ndo nchi ambazo wananchi wao ni hohehahe hadi kuenda kuomba omba
Sasa ukija huku Tz si utachanganyikiwa kabisa mambo yanaenda kasi sana huku. Kazi inaendelea.
Uchumi upi mkuu wa makaratasi ama huu ambao tunaouona na kuuishi huko Kenya?
Hii hawato ipenda na kuikubali hata siku moja! Hakuna kitu hawataki kusikia kama wabongo wako juu yao...Yet majority you are wallowing in object poverty View attachment 2490859
Mmepitwa na nchi jangwa wafa njaa ninyi mbwa
Mmebaki kuhongana chapati badala ya agenda View attachment 2491125View attachment 2491126
Chaa ajabu machakarikaji yanakufaa njaa na nchi yao kuendeshwa ya remittance za mabeki tatu uarabuni na TanzaniaTumekua wapweke sana kwenye hiyo ramani, tumezungukwa na mivivu ya kufa mtu, unakuta nchi kubwa kama Tanzania tunaizidi mara mbili kiuchumi.
Tusemeje kuhusu nyie wabongo mnaoshinda humu mkisema jinsi Tanzania ni nchi tajiri kwa eneo?
Hiyo hapo juu ni train ya sgr na hiyo hapo chini ni train ya MGR mbona unachanganya maandazi na vitumbua?Tanzania nimeishi, ni ile ile tu, kazi yenu upigaji kwenye huo umaskini unapiga na kuacha watu mifupa
![]()
Karatasi na pen imerahisisha mambo sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ninaouona na kushuhudia, aisei tumetoka mbali, halafu nashangaa kuna miaka tulikua sambamba na Tanzania, leo tumewaacha mara mbili.
Hiyo hapo juu ni train ya sgr na hiyo hapo chini ni train ya MGR mbona unachanganya maandazi na vitumbua?
Karatasi na pen imerahisisha mambo sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]