Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
DIESEL MULTIPLE UNIT. ama ina maana nyingine huko Tanganyika?Unajua hata maana ya DMU?
DIESEL MULTIPLE UNIT. ama ina maana nyingine huko Tanganyika?Unajua hata maana ya DMU?
Je hizo DMUs zinafika kibera?DIESEL MULTIPLE UNIT. ama ina maana nyingine huko Tanganyika?
Currently DMUs haziendi Kibera but kibera has had a train service for a very long timeJe hizo DMUs zinafika kibera?
Commutter rail inazidi kuboreshwa na new stations kuundwaJitekenye ucheke mwenyewe. BRT phases 2,3,4 and 5 under construction as we speak nyie mmeshamaliza paint job huko kwenu?
Hilo nalijua kuwa kibera ipo na train since 1911.Currently DMUs haziendi Kibera but kibera has had a train service for a very long time
Hiyo Commuter rail ya mwaka 1911 inaenda mpaka machakosi, kajiando na kiambu. Hiyo siyo commuter tena mzee.Commutter rail inazidi kuboreshwa na new stations kuundwa
Currently, they serve two lines:Hilo nalijua kuwa kibera ipo na train since 1911.
So hizo DMU zinatoka wapi kuelekea wapi?
commuter train service manaake nini kwako?Hiyo Commuter rail ya mwaka 1911 inaenda mpaka machakosi, kajiando na kiambu. Hiyo siyo commuter tena mzee.
Tumekua wapweke sana kwenye hiyo ramani, tumezungukwa na mivivu ya kufa mtu, unakuta nchi kubwa kama Tanzania tunaizidi mara mbili kiuchumi.
Wewe nyoko unaenda choo kwa sababu yetu! UAE ni jangwa zaidi yenyu nyie lazy asses yet wanawapa msaada wa chakula wewe Mkundustan!Ni kweli nchi inapitia kiangazi kikali kama nilivyokuambia zaidi ya nusu ya nchi yetu ni kame tupu, mngepewa hii nchi nyie mngeisha wote kwa mlivyo wazembe, hata hivyo huyu DP sijui kaokotwa wapi, silipendi.....sijawahi kuskliza sera zake, hapa tulipigwa.
Anyway aluta continua, tunaendelea kuboresha nchi licha ya changamoto zote hizi na tutaongoza miaka 100 ukanda huu....