Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jiandaeni kufutika kabisa kwenye export ya parachichi sababu mnapozitoaga wamewafukuza hawataki kuwaona

Sasa hivi hakuna kingine nakiwaza zaidi ya maparachichi, imekua dili hapa Kenya, nataka nikipata nafasi nishughulke balaa......Sisi Wakenya huwa tunachangamkia fursa, kainchi kadogo tena zaidi ya nusu yake ni kame tupu lakini kamewazidi mara mbili kiuchumi na kila kitu......tatizo lenu laana ya kuua albino ndio imewaponza kwamba hamtoki kwenye umaskini licha ya kuwa na kila kitu.
 
Kumbe unafuatilia vitu vya Tz kwa ukaribu sana eh!

Kuna uzi huwa naufuatilia kule Jamii photos, nilikutana na hiki kituko nikacheka ila baada nikaingiwa na huzuni sana kwa ajili yenu.
 
Wewe ndiye uliyenitag, sikua nafuatilia hata sikua na habari kuna Mkenya sijui kafanya nini maparachichi huko Tanzania, utakuta hapo sasa mnapiga ukunga nchi yote utadhani jamaa kalipua mabomu, hehehe huwa mnachekesha sana, ila hata hivyo kama nilivyosema kidogo utawala wa sasa kuna upepo tofauti usio na zile roho zenu za kuua albino, mama Mzanzibari anawafundisha ustaarabu.
Mimi kiboko wako. Unataka tuliazishe. Ukiwa hapa TZ tulia kabisa maana tunajua.
 
Sisi sio watu wa kurudia vipichapicha hivyo hivyo kila siku kama nyie wakati tuna miradi mingi mipya inajengwa kila siku.
Sema Umeumia, hautachekwa 😂 Those two terminals were closed for one year for renovations na zimefunguliwa late last year. Sasa hizo picha tumekuwa tukirudia hapa sijui ni gani. On the contrary nyinyi ndio mnarudia picha za ile godown yenu hapa. Niliona jamaa kazijaza hapa three days ago
 
IMG_20230120_094550.jpg
 
Sasa hivi hakuna kingine nakiwaza zaidi ya maparachichi, imekua dili hapa Kenya, nataka nikipata nafasi nishughulke balaa......Sisi Wakenya huwa tunachangamkia fursa, kainchi kadogo tena zaidi ya nusu yake ni kame tupu lakini kamewazidi mara mbili kiuchumi na kila kitu......tatizo lenu laana ya kuua albino ndio imewaponza kwamba hamtoki kwenye umaskini licha ya kuwa na kila kitu.
Uchamgamkie parachichi ardhi unayo au udalali tuu?
 
Sema Umeumia, hautachekwa Those two terminals were closed for one year for renovations na zimefunguliwa late last year. Sasa hizo picha tumekuwa tukirudia hapa sijui ni gani. On the contrary nyinyi ndio mnarudia picha za ile godown yenu hapa. Niliona jamaa kazijaza hapa three days ago
Embu tupatie basi picha za nje ya terminal tuone walivyo renovate maneno mengi peleka kibera.
 
Uchamgamkie parachichi ardhi unayo au udalali tuu?

Akili ndio tumepewa ila mkanyimwa nyie, ardhi hata ekari moja ukiwa na akili unaweza ukaitumia na kupiga hela kumzidi mwenye ekari 100.
 
Embu tupatie basi picha za nje ya terminal tuone walivyo renovate maneno mengi peleka kibera.
So renovations were supposed to take place nje ya terminal pekee yake? What kind of reasoning is this?
 
Most of them if not all Kunyans dont expect anything good in Tanzania until they get caught up with reality check that humbly remove their propaganda veil.
Mwingine huyu huku 😂

Hawa watu sijui walikua wamemezeshwa sumu ya aina gani kuhusu Tanzania toka utoto kiukweli, yaani wanashangaa mambo ya kawaida sana tunavyoyachukulia huku

Screenshot_20230120-100635.png
 
Lighi yetu ni bora sana na zaidi ya ligi nyingi tu zilizo orodheshwa hapo. hapo ni Egypt, Morocco, Tanzania.

Tanzania is a real giant, taratibu tunaelekea tunapostahili Africa hii. Ni Nyerere na mambo yake ya Ukombozi wa Africa kutumia hela zetu kununulia silaha, kutrain na kuongoza vita wa uhuru wa hizo nchi zisizo na faida yeyote kwetu.

Barabara, referal hospitals, madaraja na miundombinu mingi tunayojenga leo ilitakiwa iweimeshajengwa kabla ya 1987.
Kweli kabisa.
 
Hiyo aircraft walio donate ni ile ilioisha muda wa matumizi hata spare parts zake kwa manufacturer hazipo na imekua obligated kuwa grounded for safety concerns halafu mlivyo wehu ndio mnaenda kufundishia wanafunzi, wanafunzi wa 21st century wanaenda kujifunza taaluma ya aviation kwenye 19th century syllabus
Wacha kufikiria kama kondoo, wanapewa boeing 737 na ni high school ,najua vitu kama hizi hazijawaii onekana tanzania ila itabidi mzoee, mpaka mnaleta watoto wenyu kenya kusomea aviation hio NIT yenyu hamna kitu hapo
View attachment 2488526View attachment 2488529
 
Hivi ni kitu gani kimesababisha watu waache kupost updates za miradi mkaanza kupost uchafu wa mjini?
Turudishe maana ya Battle tena...
Tupashe kidogo Suala la barabara...Eneo muhimu na Nyeti kwenye Jiji
nakazia hapa na ile tabia ya kujaza link za magar ya insta kiukweli inakela muda mwingine tunashindwa kusoma hata reply tuna scroll kwa speed tu. bongo tumepunguza kupost vya kwetu tunapost uchafu wa nairobi badara ya mazur yetu
 
Design na customer service vinahusianaje, au ni kizungu kizungumkuti? Btw, hiyo customer service bora mnaitoa wapi ikiwa hakuna airport inakaribia JKIA kwa wizi.
Wewe mtanzania uniambie Kizungu kinanitia kizungumkuti? 😂😂😂
Mungu wangu!!!

Kila data si huwa mnapinga hapa kila siku. Haitakuwa mara yako/yenu ya kwanza wala ya mwisho. Kama hukubaliani nayo ama inakuuma sana, peleka malalamishi kwa waliotoa taarifa. In the meantime, number mtazidi kusoma
 
Back
Top Bottom