MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 33,512
- 53,477
Jiandaeni kufutika kabisa kwenye export ya parachichi sababu mnapozitoaga wamewafukuza hawataki kuwaona
Sasa hivi hakuna kingine nakiwaza zaidi ya maparachichi, imekua dili hapa Kenya, nataka nikipata nafasi nishughulke balaa......Sisi Wakenya huwa tunachangamkia fursa, kainchi kadogo tena zaidi ya nusu yake ni kame tupu lakini kamewazidi mara mbili kiuchumi na kila kitu......tatizo lenu laana ya kuua albino ndio imewaponza kwamba hamtoki kwenye umaskini licha ya kuwa na kila kitu.
Those two terminals were closed for one year for renovations na zimefunguliwa late last year. Sasa hizo picha tumekuwa tukirudia hapa sijui ni gani. On the contrary nyinyi ndio mnarudia picha za ile godown yenu hapa. Niliona jamaa kazijaza hapa three days ago

