Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bongolala, these places are way better than the uswazi hovels that dot your entire city
View attachment 2485762View attachment 2485763View attachment 2485764View attachment 2485765View attachment 2485766View attachment 2485767View attachment 2485768
And as always, mtasema ni picha za 70s
Unaleta taarifa ya 2019 kabla ya DMDP kushika hatamu picha ya miaka 4 iliyopita

1674034911748.png
 
Wadudu gani tena mkuu
Hawa watu wa WEF wanamipango mingi ya ajabu ajabu, ikiwemo kuzuia watu duniani kula nyama kama za ng'ombe, eti ya wanyama hao wanaharibu mazingira (green agenda). Badala yake wanataka dunia ile wadudu, kama panzi n.k
 
Kama una connection huko, hili ni wazo nzuri la biashara, hii ni bonge la deal la kupiga hela 😁
Tena kwa jinsi Jiji lao lilivyozidiwa na takataka kuanzia CBD hadi kibera ukipata hili dili la kuishafisha Kanaiorobi utapiga hela ndefu maana hadi Jiji lije kuwa safi itachukua muda mrefu sana wa kusomba taka zote. Then ndio utaendelea na utaratibu wa kawaida kama huku bongo.
 
Back
Top Bottom