Hapo bado inakuja BRT itakuwa Las Vegas kabisa.Picha la kutisha, tuliwaambia hawa wakundustan kwamba hii miradi ipo siku itakwisha, angalia quality hii kama Joburg mwanangu![]()
Hapo bado inakuja BRT itakuwa Las Vegas kabisa.Picha la kutisha, tuliwaambia hawa wakundustan kwamba hii miradi ipo siku itakwisha, angalia quality hii kama Joburg mwanangu![]()
Iyo nachi kazingua bana bora angeweka bongofleva


Noma sanaBarabara kama mbele vile.
Naona a modern Washington DC on the rise in Africa.
Kwa hiyo rangi huzioni au? Hebu acha kupretend. Mji wetu haujapauka kama NairobiMajengo yetu yana rangi nzuri na yanapendeza, nyie yenu yamepauka
Dar es Salaam, TanzaniaView attachment 2483922View attachment 2483923View attachment 2483924View attachment 2483926View attachment 2483927View attachment 2483928View attachment 2483929View attachment 2483930
Ndio hayo mauchafu yao walikuwa wanatutambia enzi zileHapa interchange ilo porini waku dustan bwana kama ile foot bridge ya Migori kwenye barabara ya vumbi![]()






Wewe unaona majengo na rangi gani ya maana hapa apart from the 3 towers?Kwa hiyo rangi huzioni au? Hebu acha kupretend. Mji wetu haujapauka kama NairobiMajengo yetu yana rangi nzuri na yanapendeza, nyie yenu yamepauka
Dar es Salaam, TanzaniaView attachment 2483922View attachment 2483923View attachment 2483924View attachment 2483926View attachment 2483927View attachment 2483928View attachment 2483929View attachment 2483930

wazzungu wanasema hii nchi ni kama kule kwao tu hakuna utofauti WowoteSikiliza kuanzia Katikati kuelekea mwisho kama hakuna used hapo 👇
Nyie ndio wazee wa mirangi rangi mpk kwenye flyover mnabandika ma sticker, sasa cjui mirangi inawafurahisha kitu gani.Wewe unaona majengo na rangi gani ya maana hapa apart from the 3 towers?View attachment 2484100
Compare na westlands kenyaView attachment 2484105
Muulize hizo Airbus ni used zilitumika nchi gn.Sina muda wa kupoteza na wewe. Nilisha kwambia kitambo, used ni behewa ambazo zinatoka Germany na bado hazijafika so far.
🤣 🤣 🤣Rangi gani hapa unaongelea kwanzaView attachment 2483138
Danganyika ni LDC huezi elewa umuhimu wa cloverleaf interchange. Dar hamnaHapa interchange ilo porini waku dustan bwana kama ile foot bridge ya Migori kwenye barabara ya vumbi![]()