The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kenya ni Uganda part 2 




















Unafananisha picha za sehemu mbili tofauti kujifajiriji. Mbona usipost ya hapo hapo Nation center unayodhani ni ya uhalisia alafu tuone kama ni tofauti?Huyu amepanic
Kwa mfano angalia hii picha iliyotengenezwa mtandaoni alafu angalia uhalisiaView attachment 2485444View attachment 2485445
Kalilie kwa choo.Unafananisha picha za sehemu mbili tofauti kujifajiriji. Mbona usipost ya hapo hapo Nation center unayodhani ni ya uhalisia alafu tuone kama ni tofauti?
Eti nasikia buses zetu zote nzuri pamoja na brt buses huwa ni Kenya wanatutengenezea mbona wao wanashindwa kujitengenezea buses nzuri mpaka wanapanda lorries Tatizo nini?Kenya ni nchi maskini sana wallahi sema wana mdomo kweli kweli.View attachment 2485424View attachment 2485425View attachment 2485426View attachment 2485427
Kwani hujawahi ona angle nyingine ya picha za hapo ilivyokuwa na rundo la uchafu na mazingira duni. Mara nyingi imekuwa ikiwekwa huku.Unafananisha picha za sehemu mbili tofauti kujifajiriji. Mbona usipost ya hapo hapo Nation center unayodhani ni ya uhalisia alafu tuone kama ni tofauti?
Unadhani hizo picha ukiongeza saturation ndo itabadili ukweli?Eti Nairobi pamepauka?
Nenda kalilie chooniView attachment 2485169View attachment 2485170View attachment 2485171View attachment 2485172View attachment 2485173View attachment 2485174View attachment 2485175View attachment 2485176View attachment 2485177View attachment 2485178View attachment 2485179View attachment 2485180View attachment 2485181View attachment 2485182View attachment 2485183View attachment 2485184View attachment 2485185View attachment 2485186View attachment 2485187


Watengeneze bus viwanda vya kutengeneza hizo bus wanatoa wapi, chakula tu shida ndio itakuwa kutengeneza buses, yn nchi kama Tanzania na matajiri wote hao waliojaa waende kufata bus kenya? Nani atapanda hilo bus, me siwezi kupanda hata baiskeli iliyotengenezwa Kenya cz nawajua ni wababaishaji sn hao jamaa.Eti nasikia buses zetu zote nzuri pamoja na brt buses huwa ni Kenya wanatutengenezea mbona wao wanashindwa kujitengenezea buses nzuri mpaka wanapanda lorries Tatizo nini?
Kwa mahesabu ya haraka haraka naweza sema labda nguvu ya uchumi wao ku afford buses nzuri ni ndogo ama vipi wadau nimepatia ama nimekosea kwenye observation yangu?

Angalia vimifugo jinsi vilivyokonda nyama yake sijui itakuwaje




Naona una gari mtumishi wa serikaliThe Longest Dual-Carriage way in East and Central Africa
![]()
![]()
![]()








Wadudu gani tena mkuuDah, amekwenda kwenye WEF? Asije na agenda za kula wadudu.


Bongo ukifanya huu ushenzi hutoboiHii ni alama moja wapo ya umaskini
ila sema ukweli hii gari nimeihurumia sana
View attachment 2485202
Leo umeamua kuwashika pabaya,sasa wako wanamlaumu Mwaisa




