Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatuna haja na majengo marefu, sisi tunaweka mazingira safi, sio unakuwa na kajengo katefu lkn mazingira yanayozunguka hako kajengo yanakaa chooni View attachment 2483584View attachment 2483585View attachment 2483586
Mitaani kwenu mjukuu, eti mazingira, kweli unajua maana ya neno mazingira wewe 😂 😂 😂 😂 😂..,
Kwa upana na urefu.,
1673933670546.png

Kisha kwa ground upclose..., na ni kiasi kikubwa mno.., ndio maana wakitaja nchi za fukara wengi wa kutupwa mnapatikana😂😂😂😂😂😂😂😂
Kama South Africa eti!! punguza kiherehere mjukuu, kua mpole na unyenyekee, sio dhambi kujikubali😂😂😂😂😂
1673934138341.png

1673933870821.png

1673933744422.png

1673933808559.png

1673933838570.png

A fishing village..,
1673934175102.png
 
Back
Top Bottom