Clover leaf interchange kwa gari 2 tuu only in Kundustan.Danganyika ni LDC huezi elewa umuhimu wa cloverleaf interchange. Dar hamna
Clover leaf interchange kwa gari 2 tuu only in Kundustan.

eldoret inatoa dar kwa interchanges na barabaraSawa Ichoboy
Mwenzenu huyoo, Tanzania city ni moja tu 😝 😂 😂 😂 😂 😂 Mombasa ina level🔥🔥🔥🔥,
Umegonga ndipo heheeldoret inatoa dar kwa interchanges na barabara
Mambo ya nchi yetu wewe yanakuhusu nini
Mitaani kwenu mjukuu, eti mazingira, kweli unajua maana ya neno mazingira wewe 😂 😂 😂 😂 😂..,Hatuna haja na majengo marefu, sisi tunaweka mazingira safi, sio unakuwa na kajengo katefu lkn mazingira yanayozunguka hako kajengo yanakaa chooniView attachment 2483584View attachment 2483585View attachment 2483586
Hizi system hazikufail ila wachina walivyotest A-100 na PHL wakaona PHL ni mzuri zaidi wameamua kuchugua PHL , lakini sio failed systemMzee nimekwambia ondoa mitumbwi. Mambo ya kikubwa unaleta mitumbwi. 🤣 🤣🤺🤺
TPDF ya moto sana
View attachment 1830418
View attachment 1830419
View attachment 1830421
View attachment 1830422
Green view
Video zote umepost sehem hio hio mradi wa mchina au nasema urongoo🤣🤣🤣🤣