Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatuna haja na majengo marefu, sisi tunaweka mazingira safi, sio unakuwa na kajengo katefu lkn mazingira yanayozunguka hako kajengo yanakaa chooni [emoji116][emoji116]View attachment 2483584View attachment 2483585View attachment 2483586
Mitaani kwenu mjukuu, eti mazingira, kweli unajua maana ya neno mazingira wewe 😂 😂 😂 😂 😂..,
Kwa upana na urefu.,
1673933670546.png

Kisha kwa ground upclose..., na ni kiasi kikubwa mno.., ndio maana wakitaja nchi za fukara wengi wa kutupwa mnapatikana😂😂😂😂😂😂😂😂
Kama South Africa eti!! punguza kiherehere mjukuu, kua mpole na unyenyekee, sio dhambi kujikubali😂😂😂😂😂
1673934138341.png

1673933870821.png

1673933744422.png

1673933808559.png

1673933838570.png

A fishing village..,
1673934175102.png
 
Back
Top Bottom