Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 6,221
- 12,623
Aisee hii inaitwa mwana ukome, Wakenya wote tazameni hii video alafu mlie kmy kmy.
Dhambi kubwa.
Kwa hiyo rangi huzioni au? Hebu acha kupretend. Mji wetu haujapauka kama NairobiRangi gani hapa unaongelea kwanzaView attachment 2483138

Majengo yetu yana rangi nzuri na yanapendeza, nyie yenu yamepauka




Same oooold photos.Kwa hiyo rangi huzioni au? Hebu acha kupretend. Mji wetu haujapauka kama NairobiMajengo yetu yana rangi nzuri na yanapendeza, nyie yenu yamepauka
Dar es Salaam, TanzaniaView attachment 2483922View attachment 2483923View attachment 2483924View attachment 2483926View attachment 2483927View attachment 2483928View attachment 2483929View attachment 2483930
Kuna mkunya kasema hivyo vibao vitaibiwa kwenda kuuzwa kama chuma chakavu. Kumbe Tanzania tunajitaidi kwa kutunza vituTanzania, the Kenya's benchmarki
But beautifulSame oooold photos.



Mimi sitoacha kuzituma mpaka dawa iwaingie
.Eti wanakwambia super highway mavi ya bata 🤣🤣🤣🤣🤣Kama thika ni super highway hii tuiteje?
Nimegundua tunapenda kujifariji sana watu wa ulimwengu wa tatuView attachment 2483975
Pini baada ya pini maamaee mpk waseme wanatumia vigezo gani kujilinganisha na sisi.Dodoma ring road now 20%
View attachment 2483971
Hapa interchange ilo porini waku dustan bwana kama ile foot bridge ya Migori kwenye barabara ya vumbiKapsaret Interchange, Eldoret
![]()




Barabara kama mbele vile.