Hii vip tena .. line marking iko sawa kweliBuza to chamanzi road iko hatua za mwisho
View attachment 2484389View attachment 2484390View attachment 2484391
Afu wakunya jifunzen kuhusu pedestrian lanes kwenye barabara zetu, hata mtoto mdogo yuko huru kutembea mwenyewe

alafu wanajicompare na kenyan diaspora
wazzungu wanasema hii nchi ni kama kule kwao tu hakuna utofauti Wowote

