NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,977
Huwa mnasema Tz hakuna slums, sasa hiyo 41% imetokea wapi? 🤣 🤣
Hatuna barabara inayofana hivi in DAR currently .. wacha kuokota picha Google, panda basi uje 🤣🤣🤣Zipo nyingi tu. Mojayapo ndio hii hapa yenye uswazi pembezoni View attachment 2479572
Kwa sasa Dar na Tanzania yoote nimeishika penyewe.., nachambua hadi mvunguni mwa vitanda vyenu...,,Unahangaika sana chalii 🤣🤣🤣, ona fanya hiv kama nauli ya Ndege ni kubwa panda hata basi upitie Namanga me nitaku host hapa DAR.. mana icho boi sio size yako utakufa bure
Jamaa unaweka picha za zamani mnooo kusema ukweli aisee, no plastic bags in Tz mzee na ndiyo maana unaona mitaa yetu siku hizi misafi.Na hii ndio barabara ya hawa watu sijui ni mifukara wa aina gani
View attachment 2479588
View attachment 2479589
View attachment 2479590
View attachment 2479591
Mvua ikinyesha, balaa kule uswazini..,
View attachment 2479593
View attachment 2479595
Kwa sasa Dar na Tanzania yoote nimeishika penyewe.., nachambua hadi mvunguni mwa vitanda vyenu...,,
View attachment 2479597
njooni nyote kwa ujumla muhangaike mtachoka, ukweli unabakia pale pale.., Dar bado sana.., Mombasa na Dar zinatembea pamoja na kukula kwenye meza moja.., zoea mapema usife kwa pressure.., ukweli hambadilishi kwa wivu na chuki zenu..., kaa utulie. 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Dar es salaam
Mombasa..,
Haya rudi kwa youtube clips na maoni ya wageni wasio kuwa watanzania ama wakenya utapata jibu...,Jamaa unaweka picha za zamani mnooo kusema ukweli aisee, no plastic bags in Tz mzee na ndiyo maana unaona mitaa yetu siku hizi misafi.
Kalilie kwa choo dogo, mimi sina makosa yoyote, ni Kenya ilivyo zoea 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Hahahaha 🤣🤣🤣🤣 usije ukanya bure mzee .. Unguja >>> Mombasa
Kwa unavyoijua wewe DAR hiyo picha imekava maeneo gani.? Hata useme it's overNow this is the most Developed parts of Dar.., and its over...., thank you tuusan for the post, cool pics.
Yani hio gari ukichungulia dashboard taa zote zinawaka hata huyo fundi anaetengeza hua hajui aanzie wap 🤣🤣🤣🤣 gari yenyewe inakifafaUkisikia tungo/neno au sentensi tata ndio hii : GARI LA TAKA 😂😂😂😂 , Gari la kubebea taka, Gari lililotengenezwa na taka au kila kitu ni taka.
Relax dogo, sio vita 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Kwa unavyoijua wewe DAR hiyo picha imekava maeneo gani.? Hata useme it's over
Kwamba hapo si Dar ama unamaanisha nini haswa? 😂😂Hatuna barabara inayofana hivi in DAR currently .. wacha kuokota picha Google, panda basi uje 🤣🤣🤣
Taa zote za dashboard zinawaka kama CHRISTMAS TREE 🤣Yani hio gari ukichungulia dashboard taa zote zinawaka hata huyo fundi anaetengeza hua hajui aanzie wap 🤣🤣🤣🤣 gari yenyewe inakifafa