The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Hakuna mpiga picha East and Central Africa anakaribia level hizi hapa 


😂😂 Waache upussUngempatia wakati kidogo kabla umuumbue bro. Wee sii msee mpoa. 🤣 🤣
Addis inaishinda miji kama dar na kampala eastern africa haiwezani na NairobiNairobi ya Kunyaland ingekuwa kama Addis Ababa tusingekunywa maji humuView attachment 2478316View attachment 2478317View attachment 2478318
Kwani nairobi inafua dafu kwa dar??? 🤣🤣 unaongea kama umelewa au unafkiri sisi wageni humu ndaniAddis inaishinda miji kama dar na kampala eastern africa haiwezani na Nairobi
Tofauti ni sisi hatuangalii station zao so wakitutaja mara nyingi hatuna habari ila wao huwa wamejikaza kwa stesheni zetu wakitajwa tu hivo ndio hao all over. 🤣 🤣😂😂 Waache upuss
Tanzania katika hili tunalala, tulitakiwa (behind the scene) 'tumtumie' Yarp Merkez kuwashauri Uganda wajenge ya kupitia Lake Victoria
Au labda Yarp Merkez atatumia hio fursa kujenga hadi Malaba sijui, ili wafanye mchakato wapate fursa ya kujenga upande wa Kenya (either electrified or non electrified)
Yule kilaza wenu bado yupo Migori akitafuta magari kwenye garages kupiga picha. Mwambie apige picha ya potholes kwenye barabara za Migori kama atapata
Kwani hamjaonana?Yule kilaza wenu bado yupo Migori akitafuta magari kwenye garages kupiga picha. Mwambie apige picha ya potholes kwenye barabara za Migori kama atapata
Hapo ndio wivu imekufikisha? Nenda uing'oe kaa inakuuma that much!Nyie ni watu wa kupendezesha macho tuu lakini ndani ni uozo mtupu. At first I thought hiyo ki flyover kimejengwa over mud road inabidi utumie nguvu ya ziada kujua kwamba kuna lami substandard hapo.
aaawapi!Kuna route ya precision mza to Nrb
Mabingwa wa low standard.Hapo ndio wivu imekufikisha? Nenda uing'oe kaa inakuuma that much!
Wakati flyovers bado ni ndoto kwenye miji yenu mikubwa Kama Arusha na Mwanza, huku kwetu zinajengwa hadi miji midogo Kama Kisii.
View attachment 2478575View attachment 2478578
Now I understand mbona mlishangaa kuona mji mdogo kama Migori kuwa na footbridge, kitu ambacho hakipo hata Arusha, your third largest city. Na bado mnaota tuko level moja!
Number mtazidi kusoma
Afadhali sisi tuko na low standards na ni zetu. Nionyeshe interchange ama flyover ya high standard hapo Mwanza ama Arusha, your second-largest and third-larget cities respectively.Mabingwa wa low standard.
wadau furahieni hii hapa 🤣 🤣
Tanzania will overtake Kenya in 3 years!!
Hii Oysterbay ni kwa moto Sana