Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo ndio wivu imekufikisha? Nenda uing'oe kaa inakuuma that much!

Wakati flyovers bado ni ndoto kwenye miji yenu mikubwa Kama Arusha na Mwanza, huku kwetu zinajengwa hadi miji midogo Kama Kisii.
View attachment 2478575View attachment 2478578

Now I understand mbona mlishangaa kuona mji mdogo kama Migori kuwa na footbridge, kitu ambacho hakipo hata Arusha, your third largest city. Na bado mnaota tuko level moja!
Number mtazidi kusoma
Mabingwa wa low standard.
 
Temeke
20230112_221529.jpg
 
Hapo ndio wivu imekufikisha? Nenda uing'oe kaa inakuuma that much!

Wakati flyovers bado ni ndoto kwenye miji yenu mikubwa Kama Arusha na Mwanza, huku kwetu zinajengwa hadi miji midogo Kama Kisii.
View attachment 2478575View attachment 2478578

Now I understand mbona mlishangaa kuona mji mdogo kama Migori kuwa na footbridge, kitu ambacho hakipo hata Arusha, your third largest city. Na bado mnaota tuko level moja!
Number mtazidi kusoma
Hizo infrastructure ni suala la muda zitajengwa kwenye miji uliotaja,Angalia Gdp yetu Vs yenu, Ukuaji wetu wa uchumi utatoa majibu yamambo kama hayo muda sio mrefu...

Hata Dar tulichelewa kupata izo infrastructure sahv tuko na overpass zaidi ya 5,interchange 2 na flyover 4 ndani ya kipindi cha miaka 6 tu from 1 interchange ,zero flyover and zero overpasses
 
Hizo infrastructure ni suala la muda zitajengwa kwenye miji uliotaja,Angalia Gdp yetu Vs yenu, Ukuaji wetu wa uchumi utatoa majibu yamambo kama hayo muda sio mrefu...

Hata Dar tulichelewa kupata izo infrastructure sahv tuko na overpass zaidi ya 5,interchange 2 na flyover 4 ndani ya kipindi cha miaka 6 tu from 1 interchange ,zero flyover and zero overpasses
Kama kuna mtanzania nampatianga heshima zake kwenye huu uzi ni wewe. Michango yako hapa haziendeshwi na hisia na wivu kama ilivyo na wenzako. You argue with a lot of maturity and reasoning, which is unlike most Tanzanians here.

About certain infrastructure kukosekana kwenye miji yenu mikubwa, najua pia ni swala la muda tu. It won't take long before cities like Mwanza or Arusha to start having such coz they honestly need them and no amount of sugrcoasting and uxcuses will change that. Cha kushangaza ni pale wenzako wanapo-argue to imply that such infrastructure hazina umuhimu wowote kwenye hayo majiji mawili eti zitakuwa ni white elephant. I call it a lame excuse!!
 
Tofauti ni sisi hatuangalii station zao so wakitutaja mara nyingi hatuna habari ila wao huwa wamejikaza kwa stesheni zetu wakitajwa tu hivo ndio hao all over. 🤣 🤣
True...they follow our news channels with a lot of dedication utadhani nawatch CNN or BBC 😃😃
 


Unaleta maongezi ya once in a blue moon ya watu wajinga kama BABA LEVO?
Kipindi cha uchaguzi kwenu ni lazima tuseme hili na lile kwa sababu ya kuuwana kwenu na vyama vya upinzania wakitaka kuaminisha umma kua Kenya ina katiba bora na demokrasia.

Niliongelea ukute watu kwenye TV wanaongelea Kenya kama ilivyo kwa Wakenya wakiongelea Tanzania kila kona ya media. Tukisema tulete humu, obvious utakimbia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom