The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kila siku huwa tunawaambia humu media zenu huwa zinawaongopea, mkawa mnabishawadau furahieni hii hapa![]()
Tanzania will overtake Kenya in 3 years!!












Kila siku huwa tunawaambia humu media zenu huwa zinawaongopea, mkawa mnabishawadau furahieni hii hapa![]()
Tanzania will overtake Kenya in 3 years!!












Pole, uzuri ni kwamba siku hz mnaambiwa ukweli sasa shida inakuja hamtaki ukweli, my friend Tz is running not walking, don't compare it with other Sub Saharan shit holesHizi mapambio zimeimbwa sana, ilikua itendeke by 2015!
Hiyo 2015 we were in $68 to $70B.., not over $80B as Maalim is insinuating.., yeah Tz is progressing as it is the case with many other Sub Saharan African countries.,













Hawa tuishi ni kina nani aisee, wanapiga picha balaa.
Huyo hana uwezo wa kuja Dar, unamuonea bure.Kama sio wewe ni mkenya mwenzio alipofika dar picha pekee alizokua anapost ni sehemu mbaya,upanga yenye barabara nyingi za lami ye aliamua kupiga picha potholes na sehemu chache ambazo hazina lami.
Hizi desperation mlizianza wenyewe..
Sahivi mnamlaumu ichoboy bure
Huyu jamaa picha zake mwiba
Kama sio wewe ni mkenya mwenzio alipofika dar picha pekee alizokua anapost ni sehemu mbaya,upanga yenye barabara nyingi za lami ye aliamua kupiga picha potholes na sehemu chache ambazo hazina lami.
Hizi desperation mlizianza wenyewe..
Sahivi mnamlaumu ichoboy bure
Had it not been for constant tweaking of paper based GDP in Kenya, Tz would have by now taken the lead in EA.Hizi mapambio zimeimbwa sana, ilikua itendeke by 2015!
Hiyo 2015 we were in $68 to $70B.., not over $80B as Maalim is insinuating.., yeah Tz is progressing as it is the case with many other Sub Saharan African countries.,