tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,199
Nani alisema ngie hamuagizi magari kuukuu kama Watanzania kwakua nyie hela mnazo?Sasa unamchagulia Ichoboy silaha ya kuwajeruhi nayo?...Afadhali huyo wetu alikuwa picha za potholes. Huyo wenu anazunguka na simu kupiga picha za magari zilizoegeshwa kwenye garages and call it poverty. Atafute picha za potholes kwenye barabara za lami Migori town akipata apost hapa tuone. That's a true representation of poverty, sio kupiga picha za magari kwenye garage. A poor person can't own a car
Mi sipendi vita ila mnapovianzisha hua kuna watu vita viko kwenye damu haya sasa amewafungua safari kabisa
Iyo line yako kua poor people hawezi afford gari sio kweli, unaweza kua na gari na bado ukasota vilivyo