chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Tanzania most beautiful country with iconic roads
Kulikua sio haba ,Kipindi hicho safari buku jero.. unapapata Lorenzo Pub?kuna club pia jina limenitoka opo maeneo ya jangwaniMwaka huo Sumbawanga ilikuwa bado sana.
Elimu ndugu yangu na sifa za kijinga.Wanataka tujenge viflyovers just for show off,
Hebu tuseme ukweli, kulikuwa na ulazima gani kujenga hii karvati hapa?
Yaani mradi tu waseme kisumu kuna flyover ?
Misplaced priorities plus miradi ya upigaji.
View attachment 2478392
Ikiwa ka Nairobi kapo hivi itakuwa Migori villageAfadhali huyo wetu alikuwa picha za potholes. Huyo wenu anazunguka na simu kupiga picha za magari zilizoegeshwa kwenye garages and call it poverty. Atafute picha za potholes kwenye barabara za lami Migori town akipata apost hapa tuone. That's a true representation of poverty, sio kupiga picha za magari kwenye garage. A poor person can't own a car


Nyie ni watu wa kupendezesha macho tuu lakini ndani ni uozo mtupu. At first I thought hiyo ki flyover kimejengwa over mud road inabidi utumie nguvu ya ziada kujua kwamba kuna lami substandard hapo.










Inaitwa Endruz Bar ila siku hizi ilishachuja Kunazo mpya..Kulikua sio haba ,Kipindi hicho safari buku jero.. unapapata Lorenzo Pub?kuna club pia jina limenitoka opo maeneo ya jangwani
Hii wapTanzania most beautiful country with iconic roads View attachment 2478438
Sema ni mbali sana na Dar mkali...unasafiri hadi unatamani kususa...Uko ntakuja kulima mahindi Napataftia helaInaitwa Endruz Bar ila siku hizi ilishachuja Kunazo mpya..
Ukija 2025 utkuta tumetandika lami Kila mahala yaani kwa Sasa tunajenga kwenda Bondeni/Muze kutokea Ntendo na kutokea Matai kwenda Kasesya/Zambia Border
Kila siku huwa tunawaambia humu media zenu huwa zinawaongopea, mkawa mnabisha![]()
wadau furahieni hii hapa 🤣 🤣
Tanzania will overtake Kenya in 3 years!!
Kwa Barabara ni mateso aisee,ni aidha uende mpanda au Songwe upande ndege au ukifulia panda bus kwa kuunga ila Moja kwa Moja ni majanga..Sema ni mbali sana na Dar mkali...unasafiri hadi unatamani kususa...Uko ntakuja kulima mahindi Napataftia hela
Wanapelekeana moto si mchezo, ndiyo maana wapo wengi kama kunguni, over 60 mil if am not wrong.Hii sio habari ya miaka 5 iliyopita.. ni habari ya mwaka huu 2023.. super gonorrhoea in Nairobi
Hawa jamaa ni vitombi sana na hawana chakula
View attachment 2478467
Huh?Kenyans in their media are always talking about Tanzania. You can't find any media in Tanzania, where four or more people talking about Kenya.
I stopped listening to it when one among those fools said "google it". The whole of this silly talk derives from Facebook and Instagram economic data.
Hawa tuishi wapewe ulinzi, wanatoa kitu halisi kabisa kama kilivyo yn no make up na kitu kinapendeza.Modern and biggest football stadium in east and central africa
Kwa mgeni aneza sema hapa berlin germanyView attachment 2478478
Huh?