Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo barabara kwa sasa inapanuliwa all the way from Kisii town to Isebania border through Migori town. The fella travelled from Sirare to Migori using the same road, saw so many trucks and machines going about their business, but couldn't mention that or even post a picture of the same. Alingoja afike Migori town aende kupiga picha magari zilizoegeshwa kwenye garages and say how poor Kenyans are. The dude is so desperate!
Heheee, hii Dunia Ina wajinga sii kidogo.
 
Sasa kwann tujenge na havina maana? Footbridges ni kwa sehem ya mkusanyiko mkubwa wa watu na magari mengi yanapita hapo kwa kasi.. huko kwenu watu wanaangalia kupiga hela tu za burebure kwa kujenga projects

Wanataka tujenge viflyovers just for show off,
Hebu tuseme ukweli, kulikuwa na ulazima gani kujenga hii karvati hapa?
Yaani mradi tu waseme kisumu kuna flyover ?
Misplaced priorities plus miradi ya upigaji.
IMG_7471.jpg
 
Kama sio wewe ni mkenya mwenzio alipofika dar picha pekee alizokua anapost ni sehemu mbaya,upanga yenye barabara nyingi za lami ye aliamua kupiga picha potholes na sehemu chache ambazo hazina lami.
Hizi desperation mlizianza wenyewe..
Sahivi mnamlaumu ichoboy bure
Afadhali huyo wetu alikuwa picha za potholes. Huyo wenu anazunguka na simu kupiga picha za magari zilizoegeshwa kwenye garages and call it poverty. Atafute picha za potholes kwenye barabara za lami Migori town akipata apost hapa tuone. That's a true representation of poverty, sio kupiga picha za magari kwenye garage. A poor person can't own a car
 
Wanataka tujenge viflyovers just for show off,
Hebu tuseme ukweli, kulikuwa na ulazima gani kujenga hii karvati hapa?
Yaani mradi tu waseme kisumu kuna flyover ?
Misplaced priorities plus miradi ya upigaji.
View attachment 2478392
Utajuaje umuhimu wake wakati huoni hapo ni junction? Think about seamless flow of traffic ndio utaelewa umuhimu wake
 
Afadhali huyo wetu alikuwa picha za potholes. Huyo wenu anazunguka na simu kupiga picha za magari zilizoegeshwa kwenye garages and call it poverty. Atafute picha za potholes kwenye barabara za lami Migori town akipata apost hapa tuone. That's a true representation of poverty, sio kupiga picha za magari kwenye garage. A poor person can't own a car
Nani alisema ngie hamuagizi magari kuukuu kama Watanzania kwakua nyie hela mnazo?Sasa unamchagulia Ichoboy silaha ya kuwajeruhi nayo?...
Mi sipendi vita ila mnapovianzisha hua kuna watu vita viko kwenye damu haya sasa amewafungua safari kabisa

Iyo line yako kua poor people hawezi afford gari sio kweli, unaweza kua na gari na bado ukasota vilivyo
 
Utajuaje umuhimu wake wakati huoni hapo ni junction? Think about seamless flow of traffic ndio utaelewa umuhimu wake

Junctution, hahaha umeona hizo connecting roads zilivyo terrible?
Why not make a simple round about and the remaining funds improve the surrounding environments ukizingatia hakuna hata magari huko,
Plus hiyo road yenye hiyo curvet terminates in 150m then kinakoendelea hakujawa paved.
 
Utajuaje umuhimu wake wakati huoni hapo ni junction? Think about seamless flow of traffic ndio utaelewa umuhimu wake
Nyie ni watu wa kupendezesha macho tuu lakini ndani ni uozo mtupu. At first I thought hiyo ki flyover kimejengwa over mud road inabidi utumie nguvu ya ziada kujua kwamba kuna lami substandard hapo.
 
Back
Top Bottom