Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama hii ni poverty eti, Tanzania tutaitafutia jina..
img_0594-jpg.2476457


Tanzania kila eneo karibia kila kitu kina muonekano wa kizamani.., tokea makazi, watu na magari πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ linganisha..,
1673364848527.png

1673364863209.png
 
Huko watu wadogo hawana magari. Town Mdogo size ya Migori huko ziko empty of cars. Kenyan small scale farmers choose cars like probox, fielder and Hilux because they're hardy and cheap to maintain ama mtu anategemea mfugaji kuku abebee kreti za mayai kwa Range Rover? Every car has its use.
Ni ukweli kabisaa, town ndogo level ya Migori in Tz ni ushago deadly.., old model vehicles if any alafu vumbi kila eneo.., no tarmac.., asante "mzungu" google earth, ata kama waliibia wajerumani hiyo idea.., mtanzania hanidanganyi.,
 
Tanzania tunaijua kote kote usijikaze na kuchagua chagua visehemu vichache "kujimwambafy" as u guys put it.., tabia za vijiweni nilidhani uliacha mwaka jana kumbe bado, [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wakuu ikiwa kiwalani imemshangaza jamaa wallahi tujipongeze sn Watz [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wakuu ikiwa kiwalani imemshangaza jamaa wallahi tujipongeze sn Watz [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Is this a Ugandan town?.., nakwambia mko whatsapp group moja na Uganda, tazama.., πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ alafu utasema nawaonea..,
img_20230110_182028_988-jpg.2476539
 
Hiz estate roads zenu hazina viwango
Sasa kama hata mitaa zenu za kifahari ndio hazina lami ni vumbi tupu huna hata haya kusema hizo barabara zetu hazina viwango. Hizi za mitaa yenu ya kifahari ziko na kiwango gani?
20221124_135741.jpg


Watanzania chuki na wivu haitawasaidia kupita Kenya kwa lolote
 
Wacha picha ziseme wapi ni Uganda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2476556View attachment 2476557
Migori kwa ujumla bila ya kutafuta visehemu vichache is far better, nyie nikiweka aerial view ya mji level ya Migori ni ushamba na Ugandan look nitaona.., bana wacha kujikaza, hauna jibu ya kuficha uchi wenu, utakoma kwa propaganda na kujaribu kupotosha ili kujiliwaza, mko nyuma sana πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
img_0594-jpg.2476457
 
Sasa kama hata mitaa zenu za kifahari ndio hazina lami ni vumbi tupu huna hata haya kusema hizo barabara zetu hazina viwango. Hizi za mitaa yenu ya kifahari ziko na kiwango gani? View attachment 2476555

Watanzania chuki na wivu haitawasaidia kupita Kenya kwa lolote
Mm nakupa roads za uswazi na zina lami, concrete roads mnaita vumbi washamba kweli nyie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
IMG_20230110_181430_421.jpg
IMG_20230110_181912_865.jpg
IMG_20230110_182332_780.jpg
IMG_20230110_182619_852.jpg
IMG_20230110_181022_701.jpg
IMG_20230110_180929_014.jpg
 
Sasa kama hata mitaa zenu za kifahari ndio hazina lami ni vumbi tupu huna hata haya kusema hizo barabara zetu hazina viwango. Hizi za mitaa yenu ya kifahari ziko na kiwango gani? View attachment 2476555

Watanzania chuki na wivu haitawasaidia kupita Kenya kwa lolote
Mombasa ni dawa tosha kwa Dar.., hehehe.., yaani hii ni posh residential hii ingekua in Mombasa ni mtaa ya kawaida sana, akina Shanzu hivi, hakuna high end estate in Coast without tarmac, Tz bana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Uganda[emoji91][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jf imewazindua sn akili na kujiona mlivyo bado, mlidhani mko sawa na sisi kumbe tulishawawcha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Uganda[emoji91][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Somo mshalipata, sasa mkawasumbue viongozi wenu wapambane wasitambae mana nchi zingine zinakimbia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mm nakupa roads za uswazi na zina lami, concrete roads mnaita vumbi washamba kweli nyie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2476562View attachment 2476563View attachment 2476564View attachment 2476565View attachment 2476567View attachment 2476569
Stop cherry-picking bongolala. Moja ya mitaa yenu ya kifahari ndio hii hapa na ni vumbi tupu
20221124_135741.jpg

Unafikiri kutuletea vipicha vya kuchagua itabadilisha ukweli wowote?
 
Jf imewazindua sn akili na kujiona mlivyo bado, mlidhani mko sawa na sisi kumbe tulishawawcha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmejianika na kujishusha sana, afadhali mngebaki mkipost kijitonyama ya kuficha aibu ilio Tanzania., ona sasa what u are posting, hizo ndio muonekano dhabiti wa Tanzania, pia dodoma iko vileπŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Dodoma, kawaida ya makazi zenu., ndio picha ya taifa hii hehehe, eti mmetuacha na hamjawai tufikiaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
1673366148763.png

1673366158560.png
 
Kama hii ni poverty eti, Tanzania tutaitafutia jina..
img_0594-jpg.2476457


Tanzania kila eneo karibia kila kitu kina muonekano wa kizamani.., tokea makazi, watu na magari πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ linganisha..,
View attachment 2476549
View attachment 2476550
Watakuambia ni picha za 90s. Hawachokangi na huo msemo
 
Watakuambia ni picha za 90s. Hawachokangi na huo msemo
Kuna jama wao youtube, channel yake inaitwa "Inspire to Travel" jamaa ameanika Tz in 2022 utashangaa.., yaani wako down sana.., Migori is better..,
 
Back
Top Bottom