Mwaka uliopita barabara za 880km zimejengwa TZ.Pesa inayotengwa kwa ajili ya kukarabati na kujenga barabara kwa kiwango cha lami ni kweli kwa mwaka mkoja haitoshi, izo 500km ni mfuko wa barabara tu,lakini kuna miradi ya mikopo kama ule wa barabara ya masasi mtwara kipande cha mvinata 160Km ambazo walichukua pesa Bank ya maendeleo africa,
Kuna miradi kama ya Tengeru moshi holili upanuzi wa barabara kua njia nne hela za mjapan,kuna miradi ya mwendokasi kutoka washirika,outer ring ya dodoma na miradi kadhaa ambayo haijatengewa fedha za ndani...
Ukijumlisha miradi inayoendelea kutekelezwa ni zaidi ya 1700Kms znajengwa kwa sasa kwa kiwango cha lami


