Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Daaaaaaaamn! Sasa cholera inawaachaje kwa style hii
itatuwacha jinsi ilivyowaacha mwaka jana
Untitledmkl.jpg
 
Low standards says alot about your economic situation. Sisi huko kwenye sinia za bati tulishatoka siku nyingi tuu tena sio kwa sinia hilo lenye sura ya kibera.
your trash talk, insecurity and jealousy speak volumes about your economic situation compared to my sweet innocent well-cooked meat 🤣 🤣
 
Hehe wabongo na inferiority complex daah. Yani uzurure ukitafta gari nzee na mahali pabovu ndo upige picha utupie huku ufurahishe wenzako as if unatoka ulaya. Ichoboy ni mtanzania wa tatu hapa kuona. Labda hawana hata shuguli kenya wameenda kutafta picha mnovu kenya . Picha mbovu hadi Paris ukitaka utazipata. Hizi childish behavior nimeona na nyinyi tu. Hata hivyo migori ni mashambani na panakaa poa
I didn't know Migori is lit!.., najua jamaa ameshangaa a village with such vibe.., Tz bado wako porini., village ni village haswa..., ndio maana wamejazana kwa miji zao, wanasambaza uswazi living 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
leo nimejifunza Migori ikienda Tanzania itakua inakaribia kutajwa miongoni mwa miji zao za maana.., hapa ni shopping centren ya village, haina number, wako sawa na pamechangamka sio vile nilidhania😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Kila picha ya magari matatu kuna probox moja ya Mwaka 2001
Probox haikuwepo in 2001 kilaza, ona mnavyo jikaza lakini wapi., poleni tulia na akina Malawi na Uganda ndio wenzenu,😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Business minded..., sio wazembe kama nyie, mpo mpo tu.,😝😂😂😂
Ati business minded 🤣🤣🤣 ukikubali ukweli, uka move on wala hautakufa .. any ways migori ni level gani hapo kenya.? kidogo labda unaeza pata fair comparison kutoka Tz ili ujue vile u guys mko nyuma
 
Safi sana!!!! watu wa mashambani wana afford to buy such, in Mwanza ni vioja..., boss, tafuta mwenzenu tukome, hadi raha
20230110_123412_hdr-jpg.2476363

Achana na Mwanza, kwetu iringa people have decent cars, sio hizo vibox hapo,
Send someone to do live street coverage and we see.
Tumeni mtu hata singida au Sumbawanga you Will never see this, hakika nyie ni mafukara.
 
I didn't know Migori is lit!.., najua jamaa ameshangaa a village with such vibe.., Tz bado wako porini., village ni village haswa..., ndio maana wamejazana kwa miji zao, wanasambaza uswazi living
leo nimejifunza Migori ikienda Tanzania itakua inakaribia kutajwa miongoni mwa miji zao za maana.., hapa ni shopping centren ya village, haina number, wako sawa na pamechangamka sio vile nilidhania

Kwamba huu mji ni Lit
 
I didn't know Migori is lit!.., najua jamaa ameshangaa a village with such vibe.., Tz bado wako porini., village ni village haswa..., ndio maana wamejazana kwa miji zao, wanasambaza uswazi living
leo nimejifunza Migori ikienda Tanzania itakua inakaribia kutajwa miongoni mwa miji zao za maana.., hapa ni shopping centren ya village, haina number, wako sawa na pamechangamka sio vile nilidhania

Migoli maybe we compare with Makambako, though makambako has better roads, no mabati houses, no proboxes.
 
Kijana wa Tandale naona umekuja kufurahisha umati Migori kwetu 😃😃Na ni kweli naona wanavyofurahi. Wamekenua meno kwelikweli. Sikujua umri wa gari siku hizi inakuwadetermined kwa kupiga picha
 
I didn't know Migori is lit!.., najua jamaa ameshangaa a village with such vibe.., Tz bado wako porini., village ni village haswa..., ndio maana wamejazana kwa miji zao, wanasambaza uswazi living
leo nimejifunza Migori ikienda Tanzania itakua inakaribia kutajwa miongoni mwa miji zao za maana.., hapa ni shopping centren ya village, haina number, wako sawa na pamechangamka sio vile nilidhania


Tazama hapa ni Iringa Municipal street coverage , see from the level of cleanness, organization, roads, houses, Cars , Public Transport (bus stages) etc .. this isn’t even in top 10 for Tz Cities and Municipalities.
 
Back
Top Bottom