Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa mbona umepost public cars "daladala" au ndio ili upate nafuu 🤣🤣.. watu wanazungumzia private cars mjomba ..
Fanya hivi pick any video clip kwa youtube ya 2022 ama 2023.., ya Tz ama Kenya mji wowote kisha angalia randomly magari yanayo pita kwa barabara, kisha uje pole pole uninong'oneze kwa maskio ulicho kiona wenzako wasiskie.., iko obvious sana..., nyie na uganda ni pacha wa kufanana year ya models😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Screenshots_2023-01-10-15-57-43.png
Screenshots_2023-01-10-15-57-43.png
Screenshots_2023-01-10-16-00-01.png
Screenshots_2023-01-10-15-59-40.png
Screenshots_2023-01-10-15-59-17.png
 
Mbona umepanic sasa buda 😆😆😆😆😆
define panic kilaza.., yaani hiyo village town iko sawa.., ingekua Tz ingekua a major town, yaani mji wa maana sana!! ama nadanganya? Kenya ata haina number..., wewe umewai sikia Migori ikitajwa miongoni mwa miji ya Kenya kweli? yaani watu wanajua kule ni village na naona kumbe pako sawa..., chezeni na Uganda na Malawi ichoboy01 ndio wenzenu kiukweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂...,
 
define panic kilaza.., yaani hiyo village town iko sawa.., ingekua Tz ingekua a major town, yaani mji wa maana sana!! ama nadanganya? Kenya ata haina number..., wewe umewai sikia Migori ikitajwa miongoni mwa miji ya Kenya kweli? yaani watu wanajua kule ni village na naona kumbe pako sawa..., jezeni na Uganda na Malawi ichoboy01 ndio wenzenu kiukweli...,
Nicxie sikia hii mbuzi inatukana kwenu
 
define panic kilaza.., yaani hiyo village town iko sawa.., ingekua Tz ingekua a major town, yaani mji wa maana sana!! ama nadanganya? Kenya ata haina number..., wewe umewai sikia Migori ikitajwa miongoni mwa miji ya Kenya kweli? yaani watu wanajua kule ni village na naona kumbe pako sawa..., jezeni na Uganda na Malawi ichoboy01 ndio wenzenu kiukweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂...,
Tuliza kalio basi nipige sindano💉💉💉💉 vzr na kwa utaratibu tu😆😆😆😆
20230110_123328_HDR.jpg
20230110_123335_HDR.jpg
20230110_123412_HDR.jpg
20230110_123414_HDR.jpg
20230110_123719_HDR.jpg
 
Unakua na uchungu mpaka umefkia kulinganisha migori na cities in Tz . 🤣🤣🤣, Zoea ukweli halaf go on manzee
Magari sio miji, usijitie hamnazo.., Mwanza watu wanaendesha models za over 15 years to 20 years ago ukiangalia kwa mtazamo mmoja!!!.., ina maanisha nini kama wewe ni mchumi?
 
ichoboy01 a typical African market place.., nini cha kushangaza hapa sasa?.., na ni mashambani.., naona majengo ambayo yanapatikana kwenye city zenu😂😂😂😂😂😂
20230110_123335_hdr-jpg.2476359
 
Back
Top Bottom