Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,082
- 17,801
That last pic is epic. The jacaranda bloom!!Estate roads in Nairobi [emoji7]View attachment 2476046View attachment 2476047View attachment 2476050
That last pic is epic. The jacaranda bloom!!Estate roads in Nairobi [emoji7]View attachment 2476046View attachment 2476047View attachment 2476050
Kijana unaefanya kazi ikulu.. huo mchuzi ni mchuzi, supu, au maji? Kwann upige picha kwenye kiti, meza inashida gan? Afu hio sinia ndo sahani za ikulu?
Inabidi tuandae battle ya vyombo vya ndani, hawa jamaa kweli ni fukara, huku hata mama lishe anasahani ya melanin 😅😅Sinia limechoka kweli kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2476065
SafiAnza sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo Mvua ikinyesha hakiatishi hata kuku bila kunata 🤣Hawauzagi mboga barabarani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2476216
Hapa una uhakika sio ( Eneo maalumu lilotengenezwa) la ku shoot movie scene equivalent to Moon Surface [emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2476149
Tazara mambo ya 70s hayo
Regional biggest paper economy [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani huo mlo ni kutupia tuu vitu ndani bila mpangilio mzuri ni kama kutengeneza vuruga tuu na pia mlo wenyewe unafanana na sinia lenyewe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Naona viungo lakini hapajaungika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hiko Chombo nacho si mchezo.
Low standards says alot about your economic situation. Sisi huko kwenye sinia za bati tulishatoka siku nyingi tuu tena sio kwa sinia hilo lenye sura ya kibera.Mimi sina standards za ufala, i just use the nearest utensil available
Mbona naona picha nzuri tu. Nina uhakika miji ya kiwango hiki hapo bongo haina hii infrastructure ninayoona hapa na magari ni mabovu. Unajaribu sana kuchafua kilicho safi.
[emoji23][emoji23][emoji23]This Trevor Noah lookalike kid trending globally, the replies are crazy [emoji1787]
Magufuli alipiga stop mashirika ya pension kujenga majengo badala yake wajenge viwanda. Mzizima tower ikawa caught up in between and stalled.Pinnacle Towers has a court case ndio maana ujenzi ilikwama. Mzizima towers imekuwa na kesi gani ndio ujenzi uende mwendo wa Kobe? Mwaka wa tano leo Kama sijakosea! Hata 88Nairobi ujenzi ilianza just the other day and it's almost coming to an end wakati Mzizima towers wanaweka glasi moja kwa wiki and call it cladding!
Mvua ikinyesha kidogo tuu ukikanyaga mguu break kiuno [emoji16]Hapo Mvua ikinyesha hakiatishi hata kuku bila kunata [emoji1787]
Pamoja na kukimbiza miraa airportGari za 5yrs ago [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani probox ni nyingi sana alaf kazi za probox ni kubeba watu, mizigo pamoja na mbuzi au kondoo kwa pamoja
View attachment 2476238View attachment 2476240View attachment 2476241View attachment 2476242View attachment 2476243View attachment 2476244View attachment 2476245View attachment 2476246View attachment 2476255View attachment 2476256