Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
best road in tanzania 🤣 🤣
best road in tanzania 🤣 🤣
Utaua watu kwa pressure bure Kanairo yenyewe haina stand ya hadhi hiyo.Nyamhongolo bus terminal, Mwanza.View attachment 2474039View attachment 2474040View attachment 2474041View attachment 2474042
Fala huyo picha kaleta yeye anataka kulazimisha ni ya googleUsiniogope mzee.
Hiyo road section hapo stand ina 16 lanes ambayo huwezi pata nchi yoyote hapa EA.Magufuli bus terminal, ni ngumu kutofautisha render na uhalisia.View attachment 2474049View attachment 2474051View attachment 2474055View attachment 2474056View attachment 2474057View attachment 2474058View attachment 2474060View attachment 2474061
Unatengeneza drama ambazo sina interests nazo. Sijam-quote aliyeuliza picha ipo mji gani Bali nimecomment post ya Ichoboy ambaye ameandika kana kwamba Huyo aliyeuliza swali alisuburi kumuumbua mkenya aliyepost mural ya huyo character kwasababu location ya hiyo picha si Nairobi. Lakini tatizo si location, ni context ya character ndiyo lengo lake.😀 wanahitaji elimu au wew ndo unahitaji elimu? Maneno meeengi😀😄
Jamaa kauliza mji gan huu? Yan picha ipo mji gan?
Kwanza. Kwann uassume hawajui huyo dada anaitwa Nairobi kutoka series maarufu ya Money Heist..
Pili. Comments zako mara nying ni kuonyesha watu hawajui vitu, good thing sometimes hata hawangaiki nazo. stop this...
Brt is a system of transport. Modern and orderly. Au unataka kubisha?Kuwa na bus terminals haimanishi kwamba uko na a good transport system. Bus terminal is just a waiting bay.
Kenya nzima wakinionesha bus terminal kama hii natoka JFMpanda bus terminal, Katavi.View attachment 2474071View attachment 2474073

Kiongozi utakuwa mwamba wa interstellar travel wewe si bureNimekwambia ukileta BRT kutoka Nairobi nahama Galaxy hii.



Kwani uongo?Mkishindwa kwenye hoja mnapandwa na hamaki and become personal![]()
Electric ipite wapi si itaisha charge kwenye foleni hiyo.We are going electric
![]()
Halafu utasikia wahuni fulani wakisema wana mtandao mkubwa wa barabara kumbe wanahesabu mpaka private roads za estates.Serikali imeamua kufungua mikoa ya Kagera na kigoma kwa barabara za kiwango cha lami,
Huko kigoma 300Km zinajengwa bampa to bampa, Kagera 120km...
Catenary cables ni kipusa huko Kundustan.Nchi fulani hivi, Kundustan republic itafika hapa 2070.View attachment 2474160View attachment 2474161View attachment 2474163
Kwakweli Tz tuko mbali sana huko Mangaka hata sijui ni mkoa au wilaya gani lakini ina stand nzuri ambayo sijawahi ona hata Naipori.
Sasa brt imegeuka na kuwa bus terminal tena? Wewe ni ovyo sanaBrt is a system of transport. Modern and orderly. Au unataka kubisha?
Mnakula chochote kile!Sasa brt imegeuka na kuwa bus terminal tena? Wewe ni ovyo sana
Wewe ndio hovyo tulikuwa tunazungumzia miji yote mikubwa duniani huwa na mifumo ya usafiri iliyo mizuri na yenye mpangilio mzuri wewe ukaibuka na kusema bus terminal ndio unaita mfumo wa usafiri mzuri. Sasa wewe ndio chizi hapa.Sasa brt imegeuka na kuwa bus terminal tena? Wewe ni ovyo sana
Dah binadamu bwana.Mnakula chochote kile!
Wilaya ya Nanyumbu Mkoa wa Mtwara,Mangaka ndio Makao Makuu ya Wilaya.Kwakweli Tz tuko mbali sana huko Mangaka hata sijui ni mkoa au wilaya gani lakini ina stand nzuri ambayo sijawahi ona hata Naipori.
Ok thanksWilaya ya Nanyumbu Mkoa wa Mtwara,Mangaka ndio Makao Makuu ya Wilaya.