Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,915
- 103,782
Nchi haina kitu mkuu economy iko kwenye kwenye trajectory mbaya sana.Nauona mpasuko hapo mbeleni!
Naona Mzizima Tower ikitishia amaniWakundustan msipanic Kama DP Gachuri ,kujeni mrelax hapa DarView attachment 2474778View attachment 2474779View attachment 2474780View attachment 2474782View attachment 2474783View attachment 2474785

Those are made by AVA imported to TZ through Dar port sio?Chuma Juu ya chuma

YeahThose are made by AVA imported to TZ through Dar port sio?![]()
Kuna mpumbavu jana alikua anajitutumua kuhusu streets, hivi Wakunya kabisa ni watu wa kuongea kuhusu streets mbele ya Tanzania? 😂😂😂
Hii ni municipal ya Shinyanga wala sio Kahama lakini hutokaa upate Street kama hii Nairobi
View attachment 2474961