Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
ARUSHA City
Haiwezi kwenda 220km/hr, max ni 160km/hr.Ucheke nn au unajiliwaza kwa maumivu mzee, ni ukweli reli yetu ambayo ni electrified SGR (the one and only in EA) ina uwezo wa kupitisha treni ya speed ya zaidi ya 220km/hr, angalia hata kama unaumia jikazeView attachment 2468070View attachment 2468071View attachment 2468072View attachment 2468073
Acha uongo wa kufurahisha jukwaaIkiwa kuna baadhi ya sehemu itakwenda mpaka 200km/ hr ww unabisha kama nani??
Please keep the tazara all for yourself 😂 no thank you.. hatuhitaji wala hatuna wivu wowoteWacha wivu kijana 🤣🤣 any way do you have any comparison so far.? 🤣🤣🤣
Hapana our rail track specification inaruhusu train kwenda speed zaidi ya hiyo! Pitia maelezo ya Kagodosa!Haiwezi kwenda 220km/hr, max ni 160km/hr.
Ili iende hiyo speed unayotaka inabidi kona na miinuko irekebishwe
Nimeshangaa.
Naona ameamua tuu kuchora watu hapa, sidhani kama amebadilika.Kuna wakati huwa nafikiri account imekuwa hacked🤣🤣
Wewe wa kiingereza cha ugoko ndio wakunifundisha mimi lugha ya mfalme !!!!!!Unajua maana ya neno "tangible" kweli wewe ama ndio uonekane mwelewa?
I don't understand how poverty can be tangible.
That aside, they say numbers don't lie. These are scientific data provided by respected international bodies with unmatched reputations in their fields. Sasa wewe kubwekabweka kwako hapo Tandale itabadilisha nini?
usipende ku google vitu hovyo elewa context ya ujumbe wangu and the choice of words. English is a very matured language by the way if you are not aware. Darasa liendelee. Kampeni ya kumaliza kiingereza cha ugoko cha kunyastan oops KundustanUnajua maana ya neno "tangible" kweli wewe ama ndio uonekane mwelewa?
I don't understand how poverty can be tangible.
That aside, they say numbers don't lie. These are scientific data provided by respected international bodies with unmatched reputations in their fields. Sasa wewe kubwekabweka kwako hapo Tandale itabadilisha nini?




Mzee unaniongelea mimi!?Naona ameamua tuu kuchora watu hapa, sidhani kama amebadilika.
Kule jukwaa la international kwenye vita, msimamo wake bado ni ule ule dhidi ya Ukraine. Watu wenye misimamo hiyo huwa hawadanganyiki kirahisi.
Ndiyo kaka.Mzee unaniongelea mimi!?
Mimi msimamo wangu ni uleule tu. Brother. Mimi nimo humu kutetea nchi yangu na maslahi yake. Fuatilia vizuri comments zangu.Ndiyo kaka.
Yuko sahihi, TRC walisema kunasehemu treni inaweza kwenda mpaka 220, ila kwa sasa waliamua kuanza na treni zenye mwendo mdogo ila miundombinu teyari ipo.Acha uongo wa kufurahisha jukwaa
Pamoja brother.Mimi msimamo wangu ni uleule tu. Brother. Mimi nimo humu kutetea nchi yangu na maslahi yake. Fuatilia vizuri comments zangu.
Mimi ni mtanzania halisi. Kazi yangu ni kuhakikisha nasema mema ya Tanzania. Napambana na wasilolitakia mema Taifa hili.
Mengine kwa kweli siyajui.
Sawa sawa.Pamoja brother.
Umesema sahihi..kosa lake moja ni kuwaachiwa watu wanaiba afu hafanyi chochote so kiti chake kinaonekana dhaifu hakiogopwiHuyu mama anajitahidi sana kuongoza hii nchi kwenye misingi ya utu na uwazi ikiwa ni pamoja na kutuletea maendeleo. Ni Rais muungwana sana. Nashangaa ambao hawaoni hizi tunu adhimu alizojaliwa na anazitumia vyema.
Hata waziri wa ujenzi akishaongelea hili kwamba sgr yetu inaweza support trains with speed up to 205kph ila kwa sasa tumechagua kuanza na train za 160kph inatutosha ila huko mbele kizazi kijacho wakiona wanataka speed zaidi wanaweza kununua train za 200kph bila kubadili miundombinu ya reli.Yuko sahihi, TRC walisema kunasehemu treni inaweza kwenda mpaka 220, ila kwa sasa waliamua kuanza na treni zenye mwendo mdogo ila miundombinu teyari ipo.
Ulikuwa ni uamuzi sahihi, reli yetu ni ndefu sana na gharama ya ujenzi ni kubwa, hivyo ilibidi wabane sehemu ili mambo yaende. Maana treni za speed kubwa gharama yake huwa ni maradufu.Hata waziri wa ujenzi akishaongelea hili kwamba sgr yetu inaweza support trains with speed up to 205kph ila kwa sasa tumechagua kuanza na train za 160kph inatutosha ila huko mbele kizazi kijacho wakiona wanataka speed zaidi wanaweza kununua train za 200kph bila kubadili miundombinu ya reli.
Nilikuwa nimefurahi kuona hatimaye bandari wataanza kuendesha hizo gati za TICTS wenyewe, baada ya miaka 20. La haula! Baada ya siku tatu tuu hivi furaha yangu yote imepigwa baridi, tena kampuni ya kihindi ambao majuzi tuu walituzikia shirika letu la reli. Mbona watoto wa Mbarawa hawa wakina Kadogosa wameweza kwenye reli, kwa nini bandari washindwe?hawa wenye shobo na MGR train yetu ndo tunawapa bandari yetu!
Yaani B1M wanafuata construction projects za Nairobi...