Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

High speed rail sio hii tunayojenga sisi,
Izo infrastructure zinapitisha train za mwendokasi usiopungua speed 220km/hr nakuendelea ,yetu ni 160km/hr ambayo hata southafrica walishajenga yakutoka Johannesburg kwenda Pretoria speed ya train zake ni 160km/hr nayo
Aliyekwambia reli yetu na SA speed yake mwisho ni 160 ni nani?? 🙄🙄 unaweza kutuambia ni aina gani ya reli imejengwa na nchi orodheshwa hapo?
 
Yes! We love the modern look of the office towers and luxury apartments. But what about the wananchi living in shacks just on the other side of the road? Do you see the contrast?
Unachotakiwa kujua ni kwamba hilo eneo lote limeendelea juzi tu, lilikua ful of Uswazi kila kona with barabara za vumbi . Hizo lami pamoja na majengo mapya unayoyaona hayazidi miaka kumi hapo.. barabara zote hapo Makumbusho ni mpyaa hazizidi miaka mitano, hata hilo jengo la stendi ya Makumbusho ni jipyaa hilo . So ni eneo linaloendea naweza sema it's the fastest developing area in Tz .. kila siku ujenzi mpya unaendelea hapo pamoja na investments za biashara kibao.. the place is one of the busiest centers in DAR.. with no doubt nasema Makumbusho it's an upcoming CBD.
 

Wacha tu nicheke
Ucheke nn au unajiliwaza kwa maumivu mzee, ni ukweli reli yetu ambayo ni electrified SGR (the one and only in EA) ina uwezo wa kupitisha treni ya speed ya zaidi ya 220km/hr, angalia hata kama unaumia jikaze
1672394606625.jpg
1672394546568.jpg
1672394593728.jpg
1672394208949.jpg
 
Ucheke nn au unajiliwaza kwa maumivu mzee, ni ukweli reli yetu ambayo ni electrified SGR (the one and only in EA) ina uwezo wa kupitisha treni ya speed ya zaidi ya 220km/hr, angalia hata kama unaumia jikazeView attachment 2468070View attachment 2468071View attachment 2468072View attachment 2468073
Kijana wa Tandale, kuna sababu reli zinajengwa with certain specifications, moja yapo ikiwa ni speed limits. Ingekuwa treni yenu iko na uwezo wa kukimbia speed ya 220km/h hilo lingewekwa wazi from day one. But because the design can't allow such speeds, it will remain so. Hii kelele unapiga hapa won't change anything
 
Back
Top Bottom