Type2 diabetes hawatumii insulin hua tunawapa dawa za kupunguza mafuta(Anti lipidogenesis)Unajua carbohydrates tunayokula ikiwa nyingi inabadilishwa kua fat kama storage kwenye mwili,sasa ile process ya kuendelea kubadili carbohydrates kua fat inaitwa lipogenesis hii ndio tunaenda kuivunja ili kue na kiwango sahihi cha mafuta mwilini ili kusaidia Kongosho lako liweze kufanya kazi yake kwa ufanisi,Sambamba na kubadili mtindo wa maisha kwasababu as we age ufanisi wa mwili nao unapungua.
Wanaohitaji insulin ni wale ambao wamerithi ugonjwa na dalili zake huonekana mapema sana na tunawapa insulin kwasababu pancreas zao hazizalishi insulin ama zinazalisha kidogo sana ambacho hakitoshelezi...
Dalili zake ni kua na kiu sana,njaa sana hata kama amekula, na kukojoa sana...
Hayo yanatokea kwasababu insulin kazi yake ni kuruhusu glucose iingie kwenye cell zako ili iweze kubadilishwa kua nguvu,sasa unakula chakula alafu ile glucose inaelea tu kwenye damu inapelekea wewe kukosa nguvu,damu kua too concentrated nk