Hivi kwa nini wanahimiza watu wenye type 2 diabetes watumie tuu insulin maisha yao yote badala ya kubadilisha style ya maisha? Wakifanya mazoezi (cardio), faida watakazozipata ni nyingi zaidi, mfano;
- Coronary collateral circulation (mishipa mipya ya moyo hutengenezwa mwilini, huzuia mshtuko wa moyo).
- Insulin sensitivity (mwili kutengeneza na kuimwaga insulin kwenye damu haraka).
- Reduction in cortisol levels (mazoezi yanasaidia ubongo kutengeneza endorphins, inapunguza stress).
- Lowering blood pressure, resting pulse rate.
- Reduces the size of atherosclerotic plaques (mafuta kwenye kuta za mishipa ya damu).
- Increase in capillary density (mwili kufanya kazi vizuri, mfano kuzuia magojwa).