Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu mama anajitahidi sana kuongoza hii nchi kwenye misingi ya utu na uwazi ikiwa ni pamoja na kutuletea maendeleo. Ni Rais muungwana sana. Nashangaa ambao hawaoni hizi tunu adhimu alizojaliwa na anazitumia vyema.
Tutampa hadhi ya Mama wa Taifa,reformist Woman na mpenda Haki.
 
Weka ushahidi hapa acha maneno matupu
Ushahidi wa nini? Kwamba tuna assemble Mercedes trucks au ushahidi ipi unataka? Kama ni hiyo, pitia kurasa za nyuma ndio uache kupurukika. Ushahidi zimewekwa hapa si haba
 
Ukitaka kuona dar cbd street level hii hapa


Screenshot_20230103-161107_Chrome.jpg




yes..! it's very much distinct..
the difference between an EmergingMarket and a LeastDevelopedCountry is more than clear here..

When all these tourists say nairobi is comparable to south african cities, and darslam, a laidback city..
they are not mincing their words.... they realy mean it..
they express wht they feel is true🤔 (nb: mzungu hajui kuficha kilicho moyoni)





dar es saalam cityscapes👇🏽👇🏽
Screenshot_20230103-124321_YouTube.jpg
Screenshot_20230103-124204_YouTube.jpg
Screenshot_20230103-123948_YouTube.jpg
Screenshot_20230103-123930_YouTube.jpg
Screenshot_20230103-123835_YouTube.jpg
Screenshot_20230103-123757_YouTube.jpg
Screenshot_20230103-124536_YouTube.jpg
Screenshot_20230103-123732_YouTube.jpg
Screenshot_20230103-123704_YouTube.jpg





VS






nairobi cityscapes👇🏽👇🏽
Screenshot_20221121-223057_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-220826_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-222010_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-221918_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-221042_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-223128_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-224419_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-221545_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-221144_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-222536_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-222631_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-222949_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-224845_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-225050_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-225835_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-225752_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-225908_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-230832_YouTube.jpg
Screenshot_20221121-220346_YouTube.jpg
Screenshot_20221117-092758_YouTube.jpg
 
Only silly beings regard "Africa Facts Zone" as credible source.

Up till now, over 700km of SGR have already been constructed in Tanzania. Why is Tanzania not in the list?
High speed rail sio hii tunayojenga sisi,
Izo infrastructure zinapitisha train za mwendokasi usiopungua speed 220km/hr nakuendelea ,yetu ni 160km/hr ambayo hata southafrica walishajenga yakutoka Johannesburg kwenda Pretoria speed ya train zake ni 160km/hr nayo
 
High speed rail sio hii tunayojenga sisi,
Izo infrastructure zinapitisha train za mwendokasi usiopungua speed 220km/hr nakuendelea ,yetu ni 160km/hr ambayo hata southafrica walishajenga yakutoka Johannesburg kwenda Pretoria speed ya train zake ni 160km/hr nayo
Naomba kuuliza sorry, kwani railway line yetu haiwezi pitisha treni zinazokimbia umbali wa 220 km/hr.?
 
High speed rail sio hii tunayojenga sisi,
Izo infrastructure zinapitisha train za mwendokasi usiopungua speed 220km/hr nakuendelea ,yetu ni 160km/hr ambayo hata southafrica walishajenga yakutoka Johannesburg kwenda Pretoria speed ya train zake ni 160km/hr nayo
Mbona hii reli yetu teyari ina huo uwezo wa kuhimili 220km per hr?
 
Back
Top Bottom