Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tz
4d5Lk6WA.jpeg
 
Sasa ukipata neno musha acquire nitag 🤣🤣🤣 kitu namshkuru sana magufuli alipowatimua waalimu wakenya tanzania i was very happy
Ebu Google hiyo kampuni inaitwa Catalyst Fund I ni kampuni ya wapi alafu urudi tuongee😂😂🤣🤣

Screenshot_20221229-004833_1.jpg
 
Mtanzania ni mtu mwenye mahesabu makali sana, bus za kichina ni 150 to 170m tena ni luxury wakat scania ni over 350m anapiga hesabu zake anaona chinnese bus inaweza kusota 2yrs na akarudisha pesa yake na akatia engine mpya ngoma ikanyanyuka tena ndio maana unaona leo soko la bus aina ya scania ni kama limekufa kabisa over 95% BUS ZOTE tanzania ni from china kwasababu ya bei na business issue na soon wachina watakuja kuweka assembly za youtong au zhongtong hapa tanzania
 
Hii bus haijatoka China 😂😂🤣
View attachment 2461552
Na bahat mbaya zaidi ndio iko hio hio moja bado hujapata nyingine

Chukua somo uelewe kwann tahmeed sasa hvi anahamia kwenye chinnese bus
Mtanzania ni mtu mwenye mahesabu makali sana, bus za kichina ni 150 to 170m tena ni luxury wakat scania ni over 350m anapiga hesabu zake anaona chinnese bus inaweza kusota 2yrs na akarudisha pesa yake na akatia engine mpya ngoma ikanyanyuka tena ndio maana unaona leo soko la bus aina ya scania ni kama limekufa kabisa over 95% BUS ZOTE tanzania ni from china kwasababu ya bei na business issue na soon wachina watakuja kuweka assembly za youtong au zhongtong hapa tanzania
 
Na bahat mbaya zaidi ndio iko hio hio moja bado hujapata nyingine

Chukua somo uelewe kwann tahmeed sasa hvi anahamia kwenye chinnese bus
Ati moja? Naezakutajia makampuni za mabasi zaidi ya kumi that uses Kenyan buses😂😂🤣🤣
 
Back
Top Bottom