Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dom, naambiwa miti imepandwa kwa wingi sana eneo hili. Mwakani inshallah kutakuwa na muonekano tofauti kabisaa.
tapatalk_1149932328_672x383.jpg
 
The best 007 unajua hu mji ulianza kama hadithi tu wanga wakasema haiwezekani but yo hii Hapa ni historia fupi tu ya Magufuli city ..mawazo yalitupeleka hapa👇
IMG-0480.JPG
wakatucheka sana 🤣🤣 but yo sisi sio wao tukafika huku bhana 👇
1671975605750.png
1671975448077.png
IMG_20220918_105952_236.jpg
IMG_20220918_104757_413.jpg
IMG_20220918_104742_888.jpg
.. we unadhani watapenda akina Don YF na Teargass. Mkitaka muje muuvunje huu mji maanina zenu 🤣🤣🤣
 
Crane mbili pekee. While Mombasa Port ikonazo 16. Bado mko nyuma sana, endeleeni kutia bidii. 👏


Ikiwa Dar itapata crane hata 5 basi mombasa itakua ni upuuzi tu.. 16 cranes in Mombasa port na Ina handle 30 million tonnes vs 2 cranes in Dar port zenye zina handle 22 million tonnes .. heb ona vile hizo cranes zenu nyngi ni useless ..
 
FYI vifaa vyote vya mawasiliano vya electronics vina back door access, tena hata hizi social media hao hao unaowatetea wanazo access nazo, unafahamu twitter files wewe?

Siyo kila kitu ni biashara, vitu vingine ni kwaajili ya usalama wa nchi. Sababu ya TANESCO kuwa bado inamilikiwa na serikali ni kwasababu ya usalama wa nchi.
Kwa hiyo simu haziwezi leta tatizo kwenye usalama wa nchi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa Dar itapata crane hata 5 basi mombasa itakua ni upuuzi tu.. 16 cranes in Mombasa port na Ina handle 30 million tonnes vs 2 cranes in Dar port zenye zina handle 22 million tonnes .. heb ona vile hizo cranes zenu nyngi ni useless ..
Si eti hamkua na STS cranes, mlikua nazo lakini zilikua chache compared to what Mombasa port has. Zilikua zinamilikiwa na TICTS ambao walikua wanarun 80% of port operations hadi contract yao ikaisha. TPA hawakua wanamiliki any STS cranes ndio wamenunua juzi tu. Dar port imehandle 17 million tonnes pekee according to recent data.
 
Back
Top Bottom