Marcelly
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 3,152
- 9,571
Wameenda kugongea pido la sikuu
Huwaoni humu baada watakuja na vipicha vyao vya barabara moja.
Huwaoni humu baada watakuja na vipicha vyao vya barabara moja.
Mara hii unakosa Imani na Mbarawa?Idea nzuri sana ila si kwa Mbarawa hata junction ya Uhasibu Kilwa Road na Chang'ombe zinahitaji hili!
Huawei kwa sababu hawaaminiani na wachina, pia wanadai wachina wanaweza spying tool kwenye electronics device zao. TTCL ilikua inastruggle wakati wanadominate mawasiliano hadi walipokua tritel hadi leo kuna makampuni kadhaa.Kumbe ndivyo unavyodanganyika, unakumbuka Trump alivyoibania Huawei? Unafikiri kwa nini asingeiacha ili kukuza biashara?
FYI vifaa vyote vya mawasiliano vya electronics vina back door access, tena hata hizi social media hao hao unaowatetea wanazo access nazo, unafahamu twitter files wewe?Huawei kwa sababu hawaaminiani na wachina, pia wanadai wachina wanaweza spying tool kwenye electronics device zao. TTCL ilikua inastruggle wakati wanadominate mawasiliano hadi walipokua tritel hadi leo kuna makampuni kadhaa.
Siyo kila kitu ni biashara, vitu vingine ni kwaajili ya usalama wa nchi. Sababu ya TANESCO kuwa bado inamilikiwa na serikali ni kwasababu ya usalama wa nchi.Monopoly haiwezi kuza biashara, mifano ipo mingi. Hata tanesco wangekua na competitor wangechangamka zaidi
Mambo ya kawaida sana hayo. Hakuna kipya. Leta kipya tukioneMombasa cruise ship terminal inazidi kuvutia cruise shipsView attachment 2457706
Nafikiri abiria Unashuka unapanda basi lingine, au itakuwaje?Shida hapo ni intergration, kwa mfano ukiweka straight tunnel nyerere road, je basi la BRT litawezaje kukunja kwenda mandela road kwa mfano itakaka kwenda mbagala au ubungo, ilibidi plan iwepo tangu flyover ilivyoazwa jengwa way back
Same issue imetokea chang'ombe na uhasibu flyover. Sijui wanaoplan hawazingatiii long term plan
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo milima wailinde wasiiache ijengwe hovyo kama ya mwanza itaharibu mandhari.
Mzee hapa tupo kwenye battle baina ya Kenya na Tanzania. Nahisi kama umekosea thread.Hiyo milima wailinde wasiiache ijengwe hovyo kama ya mwanza itaharibu mandhari.
We hujielewi, Tanzania cruise ship terminal?Mambo ya kawaida sana hayo. Hakuna kipya. Leta kipya tukione
![]()
Not true,Biashara inataka creativity, monopoly haiwezi kuza biashara. Zikizalishwa nguo quality watu watakimbia kwenye mtumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni exposure ndogo tu, milima ya mawe iliotapakaa Mwanza ni utalii wa viwango vya kimataifa kabisa, kisiwa cha saanane toka Nyerere abuni ile mbuga mpaka leo bado hawaimarket vya kutosha na nimeshangaa kuona wanyama wamepungua mno kuliko miaka miwili nyuma, japo nawapongeza kwa kujenga tents za kisasa na open lobby kubwa, nasubiri kuona soko kubwa la samaki na lenyewe litaboresha sura ya Mwanza kwa wataliiNilishawahi kuwaandikia viongozi wa mwanza kwamba utalii si mbuga za wanyama tu, when you have something unique huo ni utalii tosha.
Ni kawapa ushauri milima ya mza wanatakiwa kuitunza sana na si kuacha watu wajenge hovyo ni pesa wanaichezea.
Yaani viongozi wetu ukisikia wanatangaza mwanza utasikia
"Mwanza is short route to serengeti than Arusha"
Sijui nani aliyeturoga
Hapo ni kwa shangazi yako?We hujielewi, Tanzania cruise ship terminal?
Vipi hapa Magufuli hakuchemsha? 🤣Kunyaland piteni kushoto kabisa .
MV Mbeya on Lake Nyasa 👇
View attachment 2457604View attachment 2457605View attachment 2457606View attachment 2457607View attachment 2457608View attachment 2457609View attachment 2457610View attachment 2457611View attachment 2457612
Huu mradi umeshaanza.? Updates tafadhali