Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ha ha ha sasa hivi niko Kenya. Nimesikitika sana na kukumbuka maneno yenu. Sitaki kuweka picha mbaya zinazoonesha jinsi mnavyojidanganya. Tz na Kenya ni pipa na mfuniko.
uko kenya🇰🇪 ya wapi wewe fortune seeker! unangoja nn.. heb vipeperushe hivyo vipicha kama kweli upo kenya! bonoko!
 
Mkuu tunnel ni kwa BRT ya kutoka airport kwenda mjini, ya kwenda Buguruni si zitapita juu ya tunnel! Hapo maana yangu ni kuharakisha abiria wanaoenda airport wakati mwingine pia viongozi wanaweza kutumia hiyo BRT road.
Idea nzuri sana ila si kwa Mbarawa hata junction ya Uhasibu Kilwa Road na Chang'ombe zinahitaji hili!
 
Picha ya kwanza iliyonijia kichwan ni hii 😄

View attachment 2456921
Ila hakuna shida kupita kama wanavyojenga, zile taa za barabaran zinakuwa programmed.. taa za BRT zitapewa kipaumbele zisifanye brt ikae sana kwenye folen
Labda tu trafic polisi wavuruge wenyewe, ila nao huwa wanatoa kipaumbele sana kwa brt
Floods zinaweza kuepukika na drainage design nzuri! Kumbuka BRT phase IV ya Mandela Road yaja! Lazma uwezekano wa tunnel uangaliwe! Mmoja anayenyoosha apite chini! La sivyo Chaos inarudi!
 
M23 washaanza kukunja mkia mapema sana. KDF is fire.



Image


Image
Image

Image


Image

MKUU USIAZE KUDANGANYA KDF HAWAJAPIGANA NA M23 BALI WAMEONGEA TUU KUACHA MAPIGANA NA PIA WAMEPARA PRESSURE FROM INTERNATIONAL COMMUNITY KAKA.
 
TPA saivi kila siku kuna meli ya magari
Uongo mtupu, unadhani sisi ni wajinga. Hii era ya internet huwezi danganya watu na kuna apps mingi za kutrack meli zinazodock kwa ports. This week Dar port will not receive any Roro vessel. While Mombasa port will receive two. Yani hata idadi ya meli zile zitadock in one week in Mombasa Port ni zaidi ya mara tatu ya zile zitadock Dar.

Mombasa port

1671950904075.png


Dar Port


1671951205381.png
 
MKUU USIAZE KUDANGANYA KDF HAWAJAPIGANA NA M23 BALI WAMEONGEA TUU KUACHA MAPIGANA NA PIA WAMEPARA PRESSURE FROM INTERNATIONAL COMMUNITY KAKA.
Hawajapigana kwa sababu M23 walisalimu amri na kuondoka. KDF ndani ya mwezi moja pekee na already kuna progress. KDF is no joke.
 
Wacha kuchanganya mambo pale tunnel inayohitajika ni ya BRT inayopita lane mbili za kati Nyerere Road ili kuepusha BRT phase III ku-block magari yanayopita na yanayotoka na kuingia Mandela Road. Idea ni nzuri ila sijui kama Mbarawa ana uthubutu!
Ndicho nilichomaanisha hiki mkuu
 
I came across this beautiful building located in Tanga. It was probably built in the 1920s, and it is clearly reminiscent of the coastal colonial style of buildings. I am absolutely in love with it!

The details!! The carefully designed Bay windows. Look at the white matching with the baby blue (Summer and coastal colors). You can clearly tell that this building is a work of art. It’s designed to turn heads.

Local architects simply ignored such a style over the years and our cities today are filled with modernist, ugly bungalows in the middle of cities. When you have buildings like this, they can be used as apartments or flats as well as provide spaces for businesses on the ground floor. That’s how we build on high density and avoid the sprawl because everything we need is nearby. That’s how most European cities are because their planners never neglected traditional styles.

I wish Tanzanian cities had more buildings like this. We could have our own unique style of architecture that is attractive and purposeful. If I were the mayor of Tanga, I would have created a policy that dictates the style of buildings built adjacent to such historic structures.

98730936-E1A2-4B77-90A3-979B66FDA3F3.jpeg
 
Idea nzuri sana ila si kwa Mbarawa hata junction ya Uhasibu Kilwa Road na Chang'ombe zinahitaji hili!
Yah tena hasa Chang'ombe pale napo ingepigwa tunnel kwahiyo hapo BRT buses za phase 3 zinakuwa zinatembea tu bila kusimama kwenye junction, ikisimama ni kushusha au kupakia abiria.
 
I thought ulisema hatutatoboa lakini sahii umeanza kutapatapa after umeona KDF wanadumisha amani in that region. Just under one month waasi wa Kagame washakunja mkia kama mbwa imenyeshewa. 🤣 🤣 🤣
Usijali huku tunajua kuwa WEkundu wa msimbazi
 
I thought ulisema hatutatoboa lakini sahii umeanza kutapatapa after umeona KDF wanadumisha amani in that region. Just under one month waasi wa Kagame washakunja mkia kama mbwa imenyeshewa. 🤣 🤣 🤣
😆😆😆😆😆 HAKUNA MAPIGANO YOYOTE KULE ,
ISSUE NI PRESSURE FROM INTERNATIONAL COMMUNITY HASA REPORT ILIYOTOKA JUZI MAANA IMEONEKANA MPAKA DRONE INAONYESHA ASKARI WA RWANDA WANAVUKA BODA YA RWANDA NA CONGO. NA USHAHIDI WA KUTOSHA , ISITOSHE NA KUUWA WATU ZAUDI YA 200+ ENEO LA KISHISHE.
SIJUI UNAJUA HILO MKUU.
 
Back
Top Bottom