Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

What do you know about rifles kama hata kutofautisha uniform za jeshi hujui. I can't argue with someone who's country does not manufacture armaments. Jaribuni mutengeneze hata kisu za vita kwanza. 🤣🤣🤣
Ukipata zana kama hizo nitumie.

JWATZ.jpg


tanzanian_contingent_of_un_fib_in_kiwanja
 
wish tu ungepata fursa kufika kanairobaa and beyond, hadi naxar, eldy, kisumu, ata kwetu kco tu, ndo ujue kenya ni king ya eastern africa kwa affluence and lifestyle! hio kieleweke na si tafadhali.!
Nitafika one day Mungu akipenda. Ester nitapita Nai
 
Kuna wakenya wapo Mwanza wanafanya vlogs (sio wale wadada watatu) huyo kijana anashangaa mbona Mwanza kuna maeneo mazuri hivyo yanayoshawishi utalii (Capri point neighborhood 😅) lakini Watanzania hawayatangazi kabisa, analaumu Watanzania kwa kukaa kimya wakati wana vivutio vingi vya utalii Mwanza 🤣 nikajisemea sisi tunaona kawaida hatubrag kwa vitu vya kawaida, nikavuta picture laiti wakenya wangekua na maeneo kama hayo dunia ingekoma kuwajua 😂
Nilishawahi kuwaandikia viongozi wa mwanza kwamba utalii si mbuga za wanyama tu, when you have something unique huo ni utalii tosha.
Ni kawapa ushauri milima ya mza wanatakiwa kuitunza sana na si kuacha watu wajenge hovyo ni pesa wanaichezea.

Yaani viongozi wetu ukisikia wanatangaza mwanza utasikia

"Mwanza is short route to serengeti than Arusha"

Sijui nani aliyeturoga
 
Back
Top Bottom