Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jam la Kaskazini ni toka uhuru we boya, tena ni jam natural tofauti na jam lenu hilo la kuletwa na ubovu wa barabara.
Sasa between Kenya na Tz ni nchi gani iko na high quality roads? Alafu kwa magari pia Kenya has more vehicles kuliko Tz.
 
City Cabanas area. The flyover in the middle of the pic leads to Pipeline estate on the right. Picha kama hii kule Dar ungeona dreamhouses left right and center in the most disorganized fashion
Sio kwa huu uchafu mazee, utadhani ni eneo la reli
tapatalk_1493252430_384x512.jpg
 
Hivi pale Tazara kwa mfugale kwnn wasijenge tunnel ili BRT buses kutoka airport kwenda mjini zipite chini waepushe foleni isiyo na msingi?
Na ya kwenda Buguruni ipiteje kaka? Solution ya traffic ya japo ni flyover from Buguruni to the other side, (3 level interchange) ambayo nadhani itakuwa kwenye BRT phase 5.
 
Na ya kwenda Buguruni ipiteje kaka? Solution ya traffic ya japo ni flyover from Buguruni to the other side, (3 level interchange) ambayo nadhani itakuwa kwenye BRT phase 5.
Mkuu tunnel ni kwa BRT ya kutoka airport kwenda mjini, ya kwenda Buguruni si zitapita juu ya tunnel! Hapo maana yangu ni kuharakisha abiria wanaoenda airport wakati mwingine pia viongozi wanaweza kutumia hiyo BRT road.
 
Mkuu tunnel ni kwa BRT ya kutoka airport kwenda mjini, ya kwenda Buguruni si zitapita juu ya tunnel! Hapo maana yangu ni kuharakisha abiria wanaoenda airport wakati mwingine pia viongozi wanaweza kutumia hiyo BRT road.
Picha ya kwanza iliyonijia kichwan ni hii 😄

Screenshot_20221224-195727_Google.jpg

Ila hakuna shida kupita kama wanavyojenga, zile taa za barabaran zinakuwa programmed.. taa za BRT zitapewa kipaumbele zisifanye brt ikae sana kwenye folen
Labda tu trafic polisi wavuruge wenyewe, ila nao huwa wanatoa kipaumbele sana kwa brt
 
M
Picha ya kwanza iliyonijia kichwan ni hii 😄

View attachment 2456921
Ila hakuna shida kupita kama wanavyojenga, zile taa za barabaran zinakuwa programmed.. taa za BRT zitapewa kipaumbele zisifanye brt ikae sana kwenye folen
Labda tu trafic polisi wavuruge wenyewe, ila nao huwa wanatoa kipaumbele sana kwa brt
Nafikiri kabla ya uamuzi wowote ni lazima kujua phase 5 itapitaje.
Kwa jinsi ninavyoona mpaka phase 5 ikamilike.
Kutajengwa flyover madela Road then huku chini itakuwa ni BRT peke yake
 
Eti sasa wabongo pia mkona traffic ya magari kumi after mumeona Kenya and South Africa christmas traffic jams. 🤣 🤣 🤣
🤣🤣🤣 We fala Bongo huo ni utaratibu wetu wa kila mwaka hasa kwa jamii za watu wa Kilimanjaro .. sio tu magari hadi treni zinajaza watu kupeleka Moshi every year 👇.
 
Back
Top Bottom