Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Ulitarajia kuona dreamhouses na mpangilio mbovu kila mahali kama ilivyo desturi Dar?😂😂Izo slums mnampango wa kuziondoa?
Barabara nzuri majengo mazuri ila katikati uko kuna watu wanateseka na umaskini View attachment 2456831




