Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya wamebaki wanashangaa shangaa hawaamini wanachokiona, kila siku tunaweka vitu vipya ambavyo kwao ni ndoto za alinacha. Huku electrifitried SGR, kule BRT system, hapa bwawa kubwa la umeme linaloingiza vi Nairobi viwili, pale station ya train kama ulaya treni inaingia ndani ya station, hapa meli kubwa kuliko zote East and Central Africa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😅😅😅😅 Umesahau kuwaambia hili ni kwa pesa zetu, ajitokeze mkenya akuoneshe mradi wa $3B uliofanyika kwa pesa zao 🤣
 
'Pesa yetu tutalipa'. Sasa mbona mtu akisema tumejenga reli kwa pesa zetu mbona mnamnanga.. mnasema anatudanganya
Huwezi sema tunajenga kwa pesa yetu bila kutambua source ya Pesa yako hiyo, kwani wengine hujenga kwa Pesa ya Nani? Hata msaada ukipewa Ni yako lakini Ni msaada..

Pesa Ni ya mkopo na italipwa lazima utambue source ya Pesa.
 
Hakuna kitu kipo Kenya kikakosa kuwepo Tz ila kuna vitu kibao vipo Tz huwezi kuvipata popote pale East and Central Africa and may be in all African countries except two or three countries. Now tumeongeza na station kali ya sgr ya Dodoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna wakenya wapo Mwanza wanafanya vlogs (sio wale wadada watatu) huyo kijana anashangaa mbona Mwanza kuna maeneo mazuri hivyo yanayoshawishi utalii (Capri point neighborhood 😅) lakini Watanzania hawayatangazi kabisa, analaumu Watanzania kwa kukaa kimya wakati wana vivutio vingi vya utalii Mwanza 🤣 nikajisemea sisi tunaona kawaida hatubrag kwa vitu vya kawaida, nikavuta picture laiti wakenya wangekua na maeneo kama hayo dunia ingekoma kuwajua 😂
 
[emoji1787][emoji1787] Hao wanapewa mpaka rushwa za chapati na rais [emoji23][emoji23]

View attachment 2456740

Ufukara wa kutisha uzuri wanajijua, sasa huku ndio penye ahueni vipi ingekua huko North au Coast?



Hapa badala ya Kusaidia ataua na kuumiza watu wengi, angepita kila nyumba Kimya kimya ila sio hii Staged ******.
 
Jam la Kaskazini ni toka uhuru we boya, tena ni jam natural tofauti na jam lenu hilo la kuletwa na ubovu wa barabara.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
View attachment 2457042mtanganyika ni mtu hakubali kushindwa na hasa mkenya...
hivi, baada ya kuona trafic jam kisumu.. (yani nje ya nairobi)..
sasa ana try pia kutuonesha trafic jam venye kuko, nje ya darslam.!🤔
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

yani nimecheka yangu yooooote!.🤣
Kilichotokea Kenya, madereva walikosa ustaarabu wakatanua huku na huku wakazibana. Walikaa 20hrs barabarani.
 
Kwa December ni mambo ya kawaida ila kwasababu sisi ni wastaarabu huwezi kukuta gridlock kabisa.
20221223_093059.jpg
 
Kenyans are poor na ushahidi wameuweka wenyewe shemzi![emoji23][emoji23][emoji23]

*68 million account and they are at $56 billion

*Tanzania at 33 million accounts we are at 49 billion.

*Tofauti yetu ni $7 billion only with a difference of 35 million accounts!

*That means our transactions have more value than theirs [emoji23][emoji23]

* Other thing to note is the population of Kenya is 58 million people but there are 68 million accounts???? Food for thought there

*Could have these numbers been inflated as usual? [emoji1745][emoji1745][emoji23]
Mtu mmoja anaweza kua na acc zaidi ya moja
 
Kwa December ni mambo ya kawaida ila kwasababu sisi ni wastaarabu huwezi kukuta gridlock kabisa.View attachment 2457320
kisa.. tanganyika mna magari machache mno per capita! ie. (magari machache zaidi per a thousand no. persons)..
sababu kuu.. tanganyika nchi maskini sana, yani a true definition of an LDC country😆
 
kisa.. tanganyika mna magari machache mno per capita! ie. (magari machache zaidi per a thousand no. persons)..
sababu kuu.. tanganyika nchi maskini sana, yani a true definition of an LDC country😆
Ha ha ha sasa hivi niko Kenya. Nimesikitika sana na kukumbuka maneno yenu. Sitaki kuweka picha mbaya zinazoonesha jinsi mnavyojidanganya. Tz na Kenya ni pipa na mfuniko.
 
Nakuelewa kamanda lakini fikiria vizuri, pale tuna lane 2 za BRT, kuchonga tunnel maana yake inabidi uwe na lanes 4, 2 zinyooke na 2 ziganywe kwenda buguruni na nyingine mwenda kurasini, hapo ndio mtihani, hakuna hiyo nafasi.
Wacha kuchanganya mambo pale tunnel inayohitajika ni ya BRT inayopita lane mbili za kati Nyerere Road ili kuepusha BRT phase III ku-block magari yanayopita na yanayotoka na kuingia Mandela Road. Idea ni nzuri ila sijui kama Mbarawa ana uthubutu!
 
Back
Top Bottom