Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi




Hii station ya Dodoma ndiyo itakuwa funga kazi, ni station ya kipekee kabisa Afrika, treni ya umeme itaingia ndani ya station. Station kama hii zipo baadhi ya nchi chache kule ulaya na Marekani, Tz inaifanya East and Central Africa kuwa moja kati ya sehemu iliyoendelea zaidi Afrika.
 



Hii station ya Dodoma ndiyo itakuwa funga kazi, ni station ya kipekee kabisa Afrika, treni ya umeme itaingia ndani ya station. Station kama hii zipo baadhi ya nchi chache kule ulaya na Marekani, Tz inaifanya East and Central Africa kuwa moja kati ya sehemu iliyoendelea zaidi Afrika.
Station yenyewe itakuwa mfano wa mawe angalia kuanzia dk ya 4:05 kaongelea design ya jengo na kuhusu treni kuingia ndani ya station angalia kuanzia dk ya 5:08 ameongelea tunnel la kupitisha treni ambapo itapita juu sio chini. Wakenya poleni sana najua hali mnayopitia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

 
Hii hapa station yenyewe [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20221224-051700.jpg
 
Dodoma ndiyo unaenda kuwa mji wa kisasa zaidi East and Central Africa, huu mji tumeujenga kwa mikono yetu wenyewe. Watz tuna kila sababu ya kujipongeza kwakweli, hii hapa ni ile station funga kazi. Unaambiwa treni ya umeme ya abiria itapita juu alafu treni ya umeme ya mizigo itapita chini. Hiyo treni ya umeme ya abiria itaingia ndani ya jengo linalofanana na mawe, jengo lenyewe hili hapa [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20221224-051700.jpg
 
Eti sasa wabongo pia mkona traffic ya magari kumi after mumeona Kenya and South Africa christmas traffic jams. 🤣 🤣 🤣
Screenshot_20221224-213010_Chrome.jpg
mtanganyika ni mtu hakubali kushindwa na hasa na mkenya...
hivi, baada ya kuona trafic jam kisumu.. (yani nje ya nairobi)..
sasa ana try pia kutuonesha trafic jam venye kuko, nje ya darslam.!🤔
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

yani nimecheka yangu yooooote!.🤣
 
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

 
Nairobi CBD with South C skyline in the background. The SGR is clearly visible in the background as well
IMG_20221224_213539.jpg
 
Nairobi CBD with South C skyline in the background. The SGR is clearly visible in the background as wellView attachment 2457035
Huu mji tuseme tu ukweli bado sana, hapa nmejaribu kuitoa expressway ya mchina panakaa hivi [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20221224-214025.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tapatalk_851464994_398x281.jpg
 
Back
Top Bottom