Sasa kaburi pia ni kitu ya kutafuta points. 🤣 🤣 🤣 We soja unakuanga mjinga.Ustaarabu mpk makaburini.View attachment 2457051
Sasa kaburi pia ni kitu ya kutafuta points. 🤣 🤣 🤣 We soja unakuanga mjinga.Ustaarabu mpk makaburini.View attachment 2457051
Pole kwa maumivu.Sasa kaburi pia ni kitu ya kutafuta points.![]()
![]()
We soja unakuanga mjinga.
Sasa iko Kama Godown 😁😁
Limeishaje? Mafisadi wa Mwendazake wametolewa na kushitakiwa?Toka amekuja mwanza ni porojo, na hili suala la airport yeye analikuza, lilikuwa limeisha, anajifanya financial advisor.
Kuna mtu wa TAA alimchoma kwa Mbarawa aliitisha kikao akafoka balaa
Kwani amenengwa Mara moja? Toka kashfa ya kumwaga korosho zilizowadidea Zito alisema ikiwemo hiyo terminal na chato airport..Hawataki kusema ukweli kwakua wanamuogopa Magufuli? si kila siku wanamnanga. Kama hali ni kama unavyosema hapa, kitambo wangesha mnanga, hasa wanasiasa kama wakina Zitto. Eti jengo halijakamilika, stand ya mabasi Moshi imekamilika, tatizo ni nini?
Acheni Mwamba apumzike.
Bado hospitali yao wanaiita Queen Elizabeth? Duh, sisi Princess Margaret tuliibadilisha kitambo sana na kuiita Muhimbili.
Huyo anafaa tumpeleke Nairobi War Cemetery akenue meno huko kwa mshangaoSasa kaburi pia ni kitu ya kutafuta points. 🤣 🤣 🤣 We soja unakuanga mjinga.
Tia neno hapaHuyo anafaa tumpeleke Nairobi War Cemetery akenue meno huko kwa mshangao


Habari ya Tandale bongolala?😂😂
Sijawai ona mtu anasifu kaburi hapa. Huyo ni mshamba kwelikweli. 🤣 🤣 🤣Huyo anafaa tumpeleke Nairobi War Cemetery akenue meno huko kwa mshangao