Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

a very old design this one!..
mwanzo hizo taa🤔 ni model ya early 80s🤣🤣View attachment 2452982View attachment 2452983
Mushaamza kuchanganyikiwa 🤣🤣🤣
images (34).jpeg
 
I said it here lakini mwarabu bonoko bado kanapinga😂😂😂


Na kutoka kigoma kwenda burundi and rwanda who will pay ???🤣🤣 kwenda uvinza kwenye madini who will pay tena kasema tumekopa kwa ajili ya kukamilisha mradi mzima wapi hujaelewa ww na mradi mzima maana yake ufike rwanda and burundi pamoja na kwenye madini ya msongati 🤣🤣🤣 na lengo kuu zaidi ni congo
 
Phase 3 Phase 4 zote combined zimekuwa signed under Samia and they will cost combimed 2.9 billion usd

Phase 6 Tabora kigoma imekuwa signed under samia 2.2bil usd

BRT phase 3 and 4 and Phase 5 soon to be signed

JNHPP 3bil usd

AtCL expansion dreamliner ,767 , Max 9 mbili almost 726mil usd

Port expansion Tanga , Dar

You cant to do all that without loans and hamna Mtazania anaweza akakataa maana budget kila mwaka iko wazi huwa tunatenga about 500mil usd za SGR for all phases

Na ndo ukweli Dar Moro was done without loans Na phase 2 was Done with loan ya standard chattred about 80% na ulichukulikwa kipindi cha Magu

We are punching above , and we are still sustainable na hamna risk ya distress lets say like Kenya or Ghana

Sidhani kama kuna sehemu nimepinga mama kuchukua loans.
 
Na kutoka kigoma kwenda burundi and rwanda who will pay ???🤣🤣 kwenda uvinza kwenye madini who will pay tena kasema tumekopa kwa ajili ya kukamilisha mradi mzima wapi hujaelewa ww na mradi mzima maana yake ufike rwanda and burundi pamoja na kwenye madini ya msongati 🤣🤣🤣 na lengo kuu zaidi ni congo

Vipande vyote ni loan, from phase one to phase six😂😂🤣😂

 
From kigoma to rwanda and burundi and congo 🤣🤣🤣 from kigoma to msongati ?? Unatuona wote wajinga humu ndani yaani sikapata kuona mkenya akiumia na miradi ya tanzania wakat tunaenda rwanda and burundi now
Hueleweki. Hapa imeandikwa tu vizuri kwamba all the six phases were loans. 🤣🤣😂🤣

 
Ungekuwa na hoja ningejibu. Bahati mbaya ama nzuri nimeliona tatizo la elimu na si vibaya kuuliza "uliacha kuwa serious na masomo darasa la ngapi?".

Haya, nikutakie kila la kheri na safari yako ya elimu kwenye mitandao na simu janja.

Hoja yangu ilikuwa kuhusu SGR yeye ananiletea vitu tofauti kabisa na SGR.
 
Does this dispute the fact that mlikopa kuanzia phase one hadi mwisho?😂😂🤣😂🤣


Kumbe sikujua ni phase two tumeanza kumbe phase one mwanza to dar tulishamaliza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom