Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani ukweli hautabadilika na hautarudi nyuma utake usitake 🤣🤣🤣🤣🤣
Hizo hasira zako pelekea rais wako. Mimi hakuna penye nimesema ati Tanzania ilikopa $10B🤣🤣😂😂😂

Screenshot_20221220-174820_1.jpg
1671542424927.jpg
 
Amesema kakopa 10b kwa mradi wa SGR unaondelea au ww unafkiri from kigoma to burundi and rwanda and congo pesa atatoa wap sindio hio anakwambia amekopa kwa ajili ya kumalizia mradi mzima wa SGR 🤣🤣🤣 tatizo lenu munaumia sana na miradi ya tanzania na bahat nzuri mm nimeskiza hata hotuba yake yeye malengo yake anataka ifikie burundi na rwanda
Wewe huna akili. Kwani nyinyi ndio mtajengea Rwanda na Burundi SGR Yao?😂🤣😂🤣. Hizo $10B ni SGR Tanzania from phase 1-10🤣🤣
 
Ww zungukaa nanmaumivu lakini ukweli ndio huo na hautapingika 🤣🤣🤣🤣 musisahau miaka 5 ijayo mutashtuka SGR ishaunganisha congo rwanda na burundi alaf mukasema hamkuambiwa
Hehehe deni mwanzo mwisho alafu ubaya zaidi mnaletewa trains second hand🤣🤣🤣🤣

1671542424927.jpg
1671533650820.jpg
 
Magufuli kaondoka phase one na two ziko asilimia ngapi? Wewe unajua utaratibu wa malipo Serikalini ni wa awamu (as per certificate), unadhani hizo percentage pesa zilitoka wapi? Alafu vipi kuhusu phase 3,4,5 na leo 6……hizo hela zinatoka wapi?

Magufuli aliacha Bwawa liko below 20% leo linakimbia over 70%, hizo zote ni hela.

Magufuli aliacha BRT phase 2 ikiwa inasuasua, leo tumepata pesa hadi ya phase 5.

Magufuli aliacha ndege 6 nadhani, Samia kaongeza tano zinakuja.

Mji wa Serikali Dodoma, Magufuli aliacha wizara zinatumia majengo madogo, Samia kaongeza hela wizara zote zinamalizia majengo yao makubwa kuwezesha watumishi wote kuamia kule.

Barabara, Samia kaweka hela za kujenga ring road Dodoma over 105km, hapo sijaweka za TARURA.

Daraja la Busisi JPM aliacha liko chini ya 20% leo limefika 60%,

Miradi iko mingi na hizo zote ni hela ambazo bajeti yetu haiwezi kussuport. Huu ndio ukweli. Tuendelee kukopa au tulipe kodi, tuchague tunataka nini…..!!
Apa umeeleza vizuri kwa zaidi ya 80%
 
Wamsheizika Nchi ina GDP kubwa ila project hazionekani ,ndege hazionekani ,Reli yao imeishia Msituni, Hamna cha maana , Expressway wanajivunia ni PPP, ukiuliza kitu gani cha maana wamefanya hamna
Huwa najiuliza pesa za kodi wanafanyia nn? Mana kila kitu wanajengewa hawa wazembe mpk choo.
 
Deni la 10b reli inakwenda nchi tatu kwa mpigo bado hujashtuka tu 🤣🤣🤣🤣
Congo
Rwanda
Burundi
Uvinza kwenye madini

Hizo $10B ni pesa imetumika Tanzania pekee na all of it ni loan😂😂🤣

Screenshot_20221220-174820_1.jpg
 
Back
Top Bottom