Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwarabu bandia atasema hii ni photoshop
Image
 
Mwarabu bandia, hapa ni Kisumu. Kesho pia ni siku ju nikianza kupost Bentley sitamaliza. 😆
Image

Image
 
Jamaa wakiwekaga hiz packaging kwenye unga they consider themselves industrialized 🤣🤣.. hizi ni vitu za kawaida tu 👇Tz View attachment 2451887View attachment 2451888View attachment 2451889View attachment 2451890View attachment 2451892.. Teargass hiv ni vitu vya kawaida Tz, sawa.?
Uko na akili kweli? Wakati saa hizi tunajivunia kuuza magari to all East African countries Tanzania is celebrating branding a polythene bag.

Thank you Global Coach, Thank you Uganda for promoting Buy Kenya Build Kenya slogan.

 
nb: (to kenyan dudes only)...
due to public outcry.. the original vioja mahakamani has been reinstated back fox.... see for yourself 🤣🤣🤣

 
Lenyewe linatosha kuwasha Kenya Nzima wakazima mitambo yao yote
Tutawauzia umeme lkn nashauri tuwauzie as per hakuna kuwapunguzia bei kama hawataki wabaki na blackout yao ya kudumu. Tumewazidi parefu sn, wao wanaonesha vitu cheap sisi tunaonesha vitu vya msingi, hiyo ndiyo tofauti ya Tz na shit hole countries za EA.
 
Tutawauzia umeme lkn nashauri tuwauzie as per hakuna kuwapunguzia bei kama hawataki wabaki na blackout yao ya kudumu. Tumewazidi parefu sn, wao wanaonesha vitu cheap sisi tunaonesha vitu vya msingi, hiyo ndiyo tofauti ya Tz na shit hole countries za EA.
Investments zetu huwa zinakuwa na multiplier effect kwenye uchumi kupanga ni kuchagua. Wao wacha wachague kujenga apartments na malls
 
Back
Top Bottom