Usiwe kiazi wewe ngosha.Usimlaumu yawezekana kuna shida labda serikalini.
Si umesikia Jpm Bridge badala ya Feb 2024 Wametangaza itaisha mwishoni mwa 2024.
Nafikiri itafika 2025
Bwawa la NYERERE halijulikani linaisha lini.
Meli ilikuwa isukumwe majini mwezi Nov Tuko Dec sasa.
Miradi yote ya sgr haitaisha kwa wakati.
CAG akikagua anakuta tumelipa faini mabilioni kwa kuchelewesha malipo, lakini ziara za wanasiasa utasikia, "mkandarasi hatudai sisi ndio tunamdai kazi,
Sina mwana sheria
Mama anaupiga mwingi
pia mtuoneshe vitu nje ya Dar-Es-Saalam.. sio kila kukicha ni Dar, Dsm na Dar-Es-Salaam tuu!... 🤣🤣👇🏽
Wenzenu waban GMOs nyie mnaruhusu halafu mnajiona wajanja!
Watu wa city moja na CBD moja hawapati picha..,
Narudia: a weak brain, equals slow and clueless mind, output: zero reasoning, uelewa finyu.., jiulize maana ya neno "68 million accounts" vis a vis population.., unakuaga boya kuruka 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Hivi Wakunya watafake population yao mpaka lini? Wanafake population data for the sake of GDP! 🚮🚮🚮
View attachment 2434683
Yaani dhihirisho la ufukara wenu ulio tapakaa na ushamba.., numbers don't lie 😂 😂 😂 😂Mpaka infants wana multiple accounts 🚮🚮🚮
Unafikiri Tanzania ndio exceptional kwenye hilo?
Mmetu double kwa account yet mmetupita only by 12.5%Narudia: a weak brain, equals slow and clueless mind, output: zero reasoning, uelewa finyu.., jiulize maana ya neno "68 million accounts" vis a vis population.., unakuaga boya kuruka![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 2437693

Mbona mnaikimbia "paradiso" kwa mpigo? sio SA, mara mnajazana Nairobi, sasa mmejaa Mombasa kila eneo, kulikonii?..,Nyie nyangau mkija TZ mtarudi kwenu kweli au ndio mtazamia kabisa?View attachment 2435882
Argentina ina watu 47M wana gdp ya $603BMbona mnaikimbia "paradiso" kwa mpigo? sio SA, mara mnajazana Nairobi, sasa mmejaa Mombasa kila eneo, kulikonii?..,
Povu ya nini? swali lilikiua rahisi mbona umekwepa? so na nyinyi GDP yenu ni ngapi? kwa population kiasi gani?.., linganisha na Kenya wachana na Argentina.., mjikubali mlivyo, msijikweze dhidi ya Kenya ama nchi yeyote ile, run your race bila kelele mingi..,Argentina ina watu 47M wana gdp ya $603B
Alafu kanchi wala sio maarufu wala nn ukitoa issue za vipaji vya mipira .
Kenya gdp $110B mnatusumbua mnajulikana duniani..Mnajulikana na nani masikini ninyi?