Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Povu ya nini? swali lilikiua rahisi mbona umekwepa? so na nyinyi GDP yenu ni ngapi? kwa population kiasi gani?.., linganisha na Kenya wachana na Argentina.., mjikubali mlivyo, msijikweze dhidi ya Kenya ama nchi yeyote ile, run your race bila kelele mingi..,
Nyie mnakelele sana,Mnajiona mnahela sana kumbe hakuna lolote
Yes mmetuzidi na ni kwa uzembe wetu lakini msidhani mko ulimwengu wa wakwanza hamjafika bado.

Kwahyo imefika wakati sasa mkiwaona watz uko kwenu roho zinawauma?mbona nyie mko tz wengi sana na hadi wengine wanabadili uraia hatupigi kelele?
 
Sababu za CAG Prof.Assad kuondolewa Kinyume na Sheria 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-125637.png
    Screenshot_20220719-125637.png
    175.3 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220719-125655.png
    Screenshot_20220719-125655.png
    49.3 KB · Views: 9
Usiwe kiazi wewe ngosha.

Barabara ya Kibaha ilijengwa chini ya kiwango km 2 alivyoingia Mbarawa akaamuru estim wafumie na kujenga upya huo Ni mda.

Items zimeongezeka za zaidi ya Bil.55 kuelekea Stand ya Magufuli,tayari Hilo linadai mda.

Swala la daraja la JPM sijasikia Wala kuona popote wanaposema litachelewa Kumalizika Kama unavyodai wewe.

Yangu lini sgr ilitekelezwa kwa wakati? Leta takwimu za kipande Cha Dar-Moro.hadi march 2021 tuone Kama haikuwa nyuma ya mda.

Bwawa la Nyerere ndio kabisaa Mkandarasi tuu alikuwa Hana uwezo na lilikuwa linatumika Kama kichaka Cha Sukuma gang kupiga,hata VP mpango alishasema walileta Mkandarasi asiye na uwezo hizo zote Ni kazi za Magufuli na genge lake na Hadi Samia anachukua mradi ulikuwa nyuma ya mda..

Kwa maelezo ya Wizara Bwawa litakamilika mwishoni mwa 2024 na probably 2025 maana kazinya kujaza maji wanaanza mwezi huu huu wa 12..

Mwisho usisahau kwamba mna kesi ya Upigaji ya kuongeza gharama za mradi hapo Kigongo

Magufuli na Genge lake si ndio hawa kina Samia na Kina Mpango au akili ndio kitu huna.
 
Magufuli na Genge lake si ndio hawa kina Samia na Kina Mpango au akili ndio kitu huna.
Usiwahusishe Samia na Mpango kwenye ufisadi wa Mwendazake..

Umewahi Sikia kashfa yeyeote inayomhusu Rais Samia au Makamu wa Rais?

Mwendazake ana tuhuma za Kuficha Pesa Nje ya Nchi,kuendesha genge la watekaji wa wauaji nk na yote haya yameongelewa hadharani sio ufichoni.
 
Nyie mnakelele sana,Mnajiona mnahela sana kumbe hakuna lolote
Yes mmetuzidi na ni kwa uzembe wetu lakini msidhani mko ulimwengu wa wakwanza hamjafika bado.

Kwahyo imefika wakati sasa mkiwaona watz uko kwenu roho zinawauma?mbona nyie mko tz wengi sana na hadi wengine wanabadili uraia hatupigi kelele?
Hivi tukiongea ukweli Tanzania hamna kelele? 🤣 🤣
 
He wasn't even comparing anything 🤣 🤣 🤣 . You have acute inferiority complex. Ama ni kiingereza ndio balaa.
Nimesoma hiyo post nikachoka tu..........alafu considering it was a follow up post on me saying I actually like the way that area of Dar es Salaam looks. Hehehe, yani hawa watu bitterness itawamaliza. 🤣 🤣 Na bado kuna mafala wanalike such a useless post.🤣
 
Nimesoma hiyo post nikachoka tu..........alafu considering it was a follow up post on me saying I actually like the way that area of Dar es Salaam looks. Hehehe, yani hawa watu bitterness itawamaliza. 🤣 🤣 Na bado kuna mafala wanalike such a useless post.🤣
Wahurumie kaka, labda ni kiingereza ulichotumia hakukielewa. 🤣
 
Back
Top Bottom