Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

A shit city
Inauma lakini utazoea
tapatalk_1669896535748.jpg
 
Wakunya mna shida sana ,
So you tried so hard to copy the Supertree Grove of Singapore City,
Sasa yenyu iko Juakali sana, yours is made of iron sheets rejects from Ruiru Mabati rolling mills, looks ugly, rusty and unattractive.
Wacheni kukopi vitu vya watu kisha mnaharibu.
View attachment 2405893
View attachment 2405894
View attachment 2405895
View attachment 2405896
Nionyeshe public park moja hapo Bongo yenye unaweza linganisha na Uhuru Park ama Central Park.
 
Sema hiyo road inayopita juu ndiyo sijajuaga huwa inatokea wapi na kuelekea wapi.
Kutakuwa hakuna njia insyokatiza lane ya brt kutokea kwa late sheikh Yahya. So kwenda upande wa pili au kigogo ukitokea kwa sheikh inability upite juu ndio uingie upande wa kigogo and vice versa.
Kwasababu ukiacha hio intersection active na kwenye mataa pale itskuwa foleni na chaos kama zamani.
 
Pepsi, 7up ni global brands na bado zipo sokoni duniani kote
ndio... kweli najua ni global brand, lakini ata hivo hazina tena usemi duniani kama vile ilivyokua hapo mbeleni..
lakini tuseme miongo miwili-mitatu hivi iliopita.. zilikua majina makubwa sana.. ..🤔 yani, yalikua yana ogopewa na kuheshika sana!

mwanzo hio Pepsi ilikua inapelekana na Coke, hapa kwa hapa.. lakini sihizi... hatuiskii tena.!..
ata miongoni mwa sponsors wa worldcup hawapo.. ata konyagi ni afadhali! yawah!
 
ndio... kweli najua ni global brand, lakini ata hivo hazina tena usemi duniani kama ilivyokua hapo nyumae..
lakini miongo miwili, mitatu hivi zilizopita, zilikua majina makubwa sana.. .. yani, zikua majina tajika!

mwazo hio Pepsi ilikua inapelekana na Coke, hapa kwa hapa.. lakini sihizi... hatuiskii tena.!..
ata miongoni mwa sponsors wa worldcup hawapo.. ata konyagi ni afadhali! yawah!
Hili ndio tatizo lenu wakenya, ninyi kitu Kama hakipo huko kwenu, basi mnadhani Dunia nzima ndio hivyo hivyo, ninyi mawazo yenu yapo nyuma Sana, Messi ni ambassodor wa Pepsi Hadi Leo, bado eti mnasema ni kitu cha zamani, ninyi ni watu wa hovyo ndio sababu ukabila hautokwisha hapo kwenu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hizi dharau za rejareja hadi aibu. Kenya needs to change kuepuka hizi dharau

View attachment 2435673
Japo inauma, lakini huo ndio ukweli, Kenya ni nchi ya wababaishaji Sana, haiwezi kufanya lolote bila kutegemea majirani

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom