Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ndio... kweli najua ni global brand, lakini ata hivo hazina tena usemi duniani kama ilivyokua hapo nyumae..
lakini miongo miwili, mitatu hivi iliopita, zilikua majina makubwa sana.. .. yani, yalikua majina tajika!

mwazo hio Pepsi ilikua inapelekana na Coke, hapa kwa hapa.. lakini sihizi... hatuiskii tena.!..
ata miongoni mwa sponsors wa worldcup hawapo.. ata konyagi ni afadhali! yawah!
For your information Pepsi sells more that Coca-Cola globally.
 
ndio... kweli najua ni global brand, lakini ata hivo hazina tena usemi duniani kama ilivyokua hapo nyumae..
lakini miongo miwili, mitatu hivi iliopita, zilikua majina makubwa sana.. .. yani, yalikua majina tajika!

mwazo hio Pepsi ilikua inapelekana na Coke, hapa kwa hapa.. lakini sihizi... hatuiskii tena.!..
ata miongoni mwa sponsors wa worldcup hawapo.. ata konyagi ni afadhali! yawah!
Wewe jamaa ni mjinga sijawahi kuona! Kweli tatizo ni elimu! Jielimishe acha kujiaibisha.
 
20221204_130153.jpg
 
Niliwaambia hizo behewa zenu ni second hand na hamkusikia
Acha ujinga wewe source yako ni watu wasiokuwa na taarifa sahihi. Behewa used ni zakutoka Germany tuu nazo ziko 30 za ghorofa na electric locomotives 2. Order from Korea za coaches, locomotives na EMU zote ni brand new.

Used coaches toka Germany were meant for early operationalization ya SGR maana order ya new trains inachukua mpaka 3 years kukamilika lakini matatizo ya kimkataba yakapelekea kuchelewa na sasa mapya yamefika before zile used.
 
Acha ujinga wewe source yako ni watu wasiokuwa na taarifa sahihi. Behewa used ni zakutoka Germany tuu nazo ziko 30 za ghorofa na electric locomotives 2. Order from Korea za coaches, locomotives na EMU zote ni brand new.

Used coaches toka Germany were meant for early operationalization ya SGR maana order ya new trains inachukua mpaka 3 years kukamilika lakini matatizo ya kimkataba yakapelekea kuchelewa na sasa mapya yamefika before zile used.
Mkuu, kabla ya kutoa maelezo, kwanza ungetafuta vidonge vya kupunguza wivu uwape hao wakunya wameze.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, kabla ya kutoa maelezo, kwanza ungetafuta vidonge vya kupunguza wivu uwape hao wakunya wameze.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Huu uzi wameshaanza kuukimbia mkuu walikuwa wakisema tuonyeshe centimetre 1 ya sgr sasa tumewaonyesha more than 500km, baadae tuoneshe trains zenu tukawapa economy class ya kibabe full AC, wifi etc sasa wameanza kupoteana na kutafutana kwa tochi wamebaki wachache tuu wenye vichwa vigumu.
 
Leo nimepitia morogoro road kwenda makabe.. ile roundabout tuliyokuwa tunaitumia kuingia goba/makabe kutokea morogoro rd/ubungo/kimara, sasa haipo, kuna hili daraja..
Hapa nikiwa naenda huko makabe kwenye roundabout ya zaman
20221205_110135.jpg
20221205_110148.jpg
20221205_110152.jpg
20221205_110154.jpg



Hapa nikitoka barabara ya goba/makabe nikiingia morogoro road
20221205_114437.jpg


Hii sehem kuna madaraja matatu, moja hii ya kuunganisha goba na maramba mawili, nyingine ya passengers/pedestrians footbridge, nyingine ya mabus kuingia na kutoka Magufuli Bus Terminal
 
Leo nimepitia morogoro road kwenda makabe.. ile roundabout tuliyokuwa tunaitumia kuingia goba/makabe kutokea morogoro rd/ubungo/kimara, sasa haipo, kuna hili daraja..
Hapa nikiwa naenda huko makabe kwenye roundabout ya zaman
View attachment 2436510View attachment 2436511View attachment 2436512View attachment 2436513


Hapa nikitoka barabara ya goba/makabe nikiingia morogoro road
View attachment 2436514

Hii sehem kuna madaraja matatu, moja hii ya kuunganisha goba na maramba mawili, nyingine ya passengers/pedestrians footbridge, nyingine ya mabus kuingia na kutoka Magufuli Bus Terminal
Nafkiri hili eneo linaweza kuwa sehemu ya barabara Pana zaidi EA since ni 16 lanes zipo kwenye hicho kipande, I can't wait to see Arial photos
 
Leo nimepitia morogoro road kwenda makabe.. ile roundabout tuliyokuwa tunaitumia kuingia goba/makabe kutokea morogoro rd/ubungo/kimara, sasa haipo, kuna hili daraja..
Hapa nikiwa naenda huko makabe kwenye roundabout ya zaman
View attachment 2436510View attachment 2436511View attachment 2436512View attachment 2436513


Hapa nikitoka barabara ya goba/makabe nikiingia morogoro road
View attachment 2436514

Hii sehem kuna madaraja matatu, moja hii ya kuunganisha goba na maramba mawili, nyingine ya passengers/pedestrians footbridge, nyingine ya mabus kuingia na kutoka Magufuli Bus Terminal
Magufuli effect.
 
Back
Top Bottom