chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,315
- 45,115
Estim ameanza kuboa sasa, kazi zake zinaenda kama konokono, hii barabara hata taa za barabarani mpaka leo hajaweka, road furniture nyingi mpaka sasa hajaweka na ni muda mrefu toka apewe hii kazi
Sijui anaweka nini hiki kwenye roadway median ambayo ni lanes za BRT
Sijui anaweka nini hiki kwenye roadway median ambayo ni lanes za BRT

