Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Doha neatness=Kisumu neatness
my friends..




kumbe Doha ni kama Kisumu exactly kwa usafi..
bass kaa niivo, bass hawa waarabu wamejaribu sana.. kongole kwao👍🏽👌🏾
🤜🏾🤛🏾

20220114_142055.jpg
20220114_142718.jpg
20220321_161352.jpg
20220321_161343.jpg
20220321_161848.jpg
20220321_162025.jpg
20220321_161942.jpg
20220321_162128.jpg
20220321_162426.jpg
20220321_162350.jpg
20220411_132734.jpg
20220321_161308.jpg
20220129_160309.jpg
20220428_152850.jpg
20220428_153826.jpg
20220428_150400.jpg
Screenshot_20221202-205228_Chrome.jpg
Screenshot_20221202-205059_Chrome.jpg
20220428_145944.jpg
20220428_150011.jpg
20220428_150016.jpg
20220428_125359.jpg
 
Huyu ndio distinguished professor kwenye faculties za science and hygienic disciplines University of Nairobi 😂😂😂😂

Muangalie alivyovurugwa, koti kama mlangua kongoro wa vingunguti, hicho kichwa mara ya mwisho kuagana na kitana ni kwenye mazishi ya kibaki 😂😂😂😂

Wakenya ninyi ukapurwa upo kwenye DNA 🙌🙌🙌

Screenshot_20221203-065244.png
 
Inashangaza kudhani leo Ukraine ghafla wamekuwa wema kutaka kusaidia waafrika chakula wakati vita ilipoanza waliwazuia wanafunzi wa kiafrika kupanda treni ili kukimbia vita.

Lengo kuu la vita hii (physical and economic) lilikuwa ni kudhoofisha uchumi wa Urusi ili iwe banana republic. Ambapo ingekuwa rahisi Ulaya kuigawa Urusi na kujichukulia rasilimali watakavyo (kama Libya). Hii ni ndoto yao toka zamani. Napoleon pamoja na Hitler walijaribu pia walijaribu kuivamia Urusi lakini walishindwa.

Urusi kupata soko inazuia uchumi wake kutetereka na hivyo kuzuia lengo la Ulaya kuitenga duniani na kuidhoofisha.


Ulaya wameshashindwa hiyo vita. Ukraine inaendelea kumegwa zaidi. Urusi itachukua Odessa, mpaka Transnistria. Na Poland itakuja kuichukua Lyviv, ambayo zamani ilikuwa sehemu ya yake.

Sababu ya vita ni kuisambaratisha Urusi, ili waweze kuitawala dunia. Ukishaitawala Urusi, China haitakuwa na jeuri kiuchumi kwasababu madini yote na nishati za aina zote ziko zilizojaa Siberia zitakuwa chini yao.
Sehemu kubwa wa mchango wako ni maoni, mtazamo na jinsi unavyodhani wewe, hakuna ushahidi Wala uthibitisho wowote.

Mimi ninaomtazamo tofauti na wewe, na kwasababu hata Mimi Sina uthibitisho wowote, sioni no jinsi gani tunaweza kufikia tamati. Mimi pia nipo upande wa Russia kutokana na mchango mkubwa wa Urusi ktk enzi za ukombozi wa Africa, lakini katika hii vita, sioni ni jinsi gani Urusi itaweza kuishinda NATO.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kisumu ni mji wa pili kwa uchafu Kenya na wapili kwa uchafu Africa baada ya ka Nairobi.View attachment 2433850View attachment 2433851View attachment 2433852View attachment 2433853
Eti unasema nini kilaza?..,
1670044555310.png


wenzako wa bara wakitaja uchafu ilioko uswazini Dar unataka kuwanyonga., ila itawachukua miaka mingi kukombolewa na ufukara ulio tapakaa...,
1670044413376.png

1670044443206.png

1670044455683.png

1670044471882.png

1670044695588.png

1670044707752.png

1670044721685.png


Kisha mnaikimbia nchi yenu., hapa EAC mnaongoza kwa kuitoroka nchi yenu., South Africa wametoa data na Kenya pia tutatoa.., omba omba ni wengi mno.., EAC nyie mko hovyo zaidi, tatizo ni mentality tu maana Tz has everything, weak brain due to utapia mlo, hence clueless mind and zero reasoning, results: multidimensional poverty, wewe ni mfano mwafaka 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1670044796206.png
 
Mkuu unapoteza muda wako kubishana na huyo kichaa, unawezaje kulinganisha train ya mkoloni ya mwaka 1890s na BRT ya 21st century, huyo ni taahira mkuu hata hivyo leo nimemtengua-tengua kila mahali so hayupo OK upstairs nimemvuruga 😂😂😂
A baboon consoling a buffoon baada ya kichapo, how did I miss this, I must have been busy, hadi raha😂😂😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 .., mimi ndio dawa yenu, popote pale nitawalisha ukweli hadi mshibe ili muhare ujinga yote mlio jaza ndani yenu kisha mnyooke.., hakuna huruma kwa matahira, zezeta, miboya na mifukara wa TZ.., I respect a few but not idiots..,
 
Mnajenga cities on what economic base? Au mnagonjea loans za France waje wawajengee railway city? This is beyond pathetic. Only 9% of Kenyans are in permanent employment the rest ate hustlers cannot afford decent accommodation sasa sijui hizo nyumba na majengo yatakuwa occupied na nani. Kenyan real estate sasa hivi imeshuka sana baada ya experts wengi kuondoka.

Wekezeni kwenye vitu vya kulift majority of Kenyans out of abject poverty kwanza hayo ya cities yatakuja yenyewe tuu huko mbele.

Mfano inueni kilimo ili watu wasife na njaa maana mnapoteza nguvu kazi nyingi tuu kwa njaa.
weak brain, equals to slow and clueless mind, output: zero reasoning, uelewa finyu 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Jua kali as usual
Uchumi wa ka Tatu city kanatoa kamasi Dodoma village..,hamuna ushawishi kwa wawekezaji, itawachukua vizazi kadhaa to have what Tatu is attracting 😝 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom