Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kibaha highway..,
1670047676864.png
 
Sehemu kubwa wa mchango wako ni maoni, mtazamo na jinsi unavyodhani wewe, hakuna ushahidi Wala uthibitisho wowote.

Mimi ninaomtazamo tofauti na wewe, na kwasababu hata Mimi Sina uthibitisho wowote, sioni no jinsi gani tunaweza kufikia tamati. Mimi pia nipo upande wa Russia kutokana na mchango mkubwa wa Urusi ktk enzi za ukombozi wa Africa, lakini katika hii vita, sioni ni jinsi gani Urusi itaweza kuishinda NATO.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Haina shida braza, acha tusiwachoshe wenzetu na mambo yasiyohusu mada hii, Dar vs Nai
 
Huyu ndio distinguished professor kwenye faculties za science and hygienic disciplines University of Nairobi

Muangalie alivyovurugwa, koti kama mlangua kongoro wa vingunguti, hicho kichwa mara ya mwisho kuagana na kitana ni kwenye mazishi ya kibaki

Wakenya ninyi ukapurwa upo kwenye DNA

View attachment 2434049
Wewe hauna akili dust coat kazi yake ni nini kwani ama ni kuslay, alafu kumbe unajua ni professor wenye hukaa unkempt

Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom