Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Foolish dog. Don't is used only when speaking in the first and second person plural and singular and the third person plural ("I," "you," "we," and "they"). On the other hand, Doesn't is used when speaking in the third person singular only ("he," "she," and "it"). Fruit is It. Just because something sounds good to your ears doesn't mean it's correct.
View attachment 2429150
Mnuka mavi hakuna kingereza cha hivi

The fruits doesn't fall....

Labda ungeandika hivi

The fruits don't fall.....

Lkn huo msemo unasemwa hivi

The fruit doesn't fall......
 
kabsaa falamanga wa Kikunya anajirekodi! Turning seats ila hamna legs' room/space!
Eti anakuambia unaweza ukazungusha seat ukaongea na mwenzio wa nyuma, sasa nikajiuliza unazungusha vipi wakati kuna miguu ya watu, au utawaambia watoe miguu ili uzunguke. Lkn pia ukitaka kuzungusha kiti inabidi mkubaliane na mwenzio alie pembeni mana kiti kimeunganishwa na cha mwenzio

Wallahi Wakenya hawana akili
 
Halafu ni waongo balaa eti wanadai eti hizo seats zina-turn ili kuwezesha abiria kuongea face to face na KR wana-post! Ila ukweli ni kwa ajili ya kugeuzwa mwisho wa safari maana treni zao vichwa (engines) vipo upande mmoja tu hivyo basi hungolewa na kuungwa nyuma ready to go back on a return trip!
Kuumbee, huyo aliyekuwa anaongea ni mshamba hakuwa anajua
 
Teargass hii ni third class 🤪🤪
20221128_210019.jpg

20221128_210124.jpg

20221128_210216.jpg
 
Back
Top Bottom