Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa onyesha mahali kipande cha dar kwenda moro tumekopa?mbona unazunguka sana
Commercial capital yenu si ni dar? Na capital ni dodoma. Nini unakana Reuters au ni magufala kakudanganya mlijenga kwa pesa za ndani? 😂😂😂
 
TTB

IMG_3337.jpg
 
Hamkukopa pesa Kenya lakini mlikopa ya sgr wacha kudanganya

Labda nikupe taarifa uliokua huijui
Phase one 1.2b usd from gvt
Phase two 1.4b usd loan + 0.5b usd gvt
Phase five 1.5b usd gvt

Uliza ukiwa huna taarifa bro 😆😆😆
 
Leta ushahidi kua wamesaini wakachukua sasa ukipata nitag 🤣🤣🤣
 
Hawa kondoo ni washamba hakuna mfano.
Halafu ni waongo balaa eti wanadai eti hizo seats zina-turn ili kuwezesha abiria kuongea face to face na KR wana-post! Ila ukweli ni kwa ajili ya kugeuzwa mwisho wa safari maana treni zao vichwa (engines) vipo upande mmoja tu hivyo basi hungolewa na kuungwa nyuma ready to go back on a return trip!
 
Huku mjini dar naona kila mtaa kila nyumba mbele kuna miti imepandwa. Miaka miwili nyuma hakukua na miti ya kiasi hiki nimeshangaa Sana

Kutoka Dar uswahilini kabisa mitaa inapendeza mdogomdogo tena wananchi ndo wanaitaka kila mtu anataka apande nyumbani kwake

Ndani ya mwaka mti unakupa kivuli.


View attachment 2428773View attachment 2428774View attachment 2428775View attachment 2428776View attachment 2428777View attachment 2428778View attachment 2428779
Safi sana inapendeza.
 
Watu was sockets bado mko area? Since you are suprised by charging sockets ebu mniambie Hawa nap wanacharge aje?😂😂🤣

1669579526703.jpg
1669579505617.jpg
 
Back
Top Bottom